grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Mheshimiwa na ni Biblia hiyo hiyo iliyosema "samehe saba mara sabini kwa siku, na ni Biblia hiyo hiyo iliyosema "akupigaye shavu la kushoto mgeuzie na la kulia. Akulazimishaye kutembea maili moja nenda naye mbili. Akunyang'anyae kanzu mpe na joho pia".Mkuu grafani11,hata bible inasema mjibu mpumbavu kulingana na upumbavu wake,asije akajihesabia haki machoni pake.
Sasa mimi nimekuja hapa kuomba namna ya kuondokana na wazo la kujiua,anatokea mjinga ananiambia nikalale zimamoto yanapoenda magari kasi,huyu kumwita f.a.l.a au i.d.i.o.t nitakuwa nimekosea?
Nadhani ndiyo majina yanamstahili.
Last edited by a moderator: