Goldenboy24
Member
- Aug 11, 2021
- 29
- 5
Habarini wakuu kama kichwa cha habari kinavosema mimi ni kijana mwenye miaka 22 nimesoma hadi ngazi ya certificate in community health
Natafuta kazi katika mashirika binafsi (NGO) yanayoshughulikia masuala ya kijamii hata Kwa kujitolea kwa ujumla naweza fanya kazi kama social worker pia
Mbali na ujuzi huo pia nilishawahi fanya Sales and marketing kwenye kampuni flani Kwa muda wa miezi 6 Kwa iyo nina uzoefu wa kazi hii pia
Asanteni naamini mtanipatia connection wana Jf Asanteni
Natafuta kazi katika mashirika binafsi (NGO) yanayoshughulikia masuala ya kijamii hata Kwa kujitolea kwa ujumla naweza fanya kazi kama social worker pia
Mbali na ujuzi huo pia nilishawahi fanya Sales and marketing kwenye kampuni flani Kwa muda wa miezi 6 Kwa iyo nina uzoefu wa kazi hii pia
Asanteni naamini mtanipatia connection wana Jf Asanteni