Mangi merry
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 221
- 41
Guenevare
Holine
Praise
Holine
Praise
ushindwe kabisa na uteketee, lo!!!!!!!!!!!!!
ateketee mtoa jina, we umeshawahi kusikia mtu anaitwa changudoa? its unfair real!Liteketee hilo jina la pendekezo ama? Nimetoa ushauri/pendekezo la jina, si ndivyo ilivyotakiwa au vipi tena?
ateketee mtoa jina, we umeshawahi kusikia mtu anaitwa changudoa? its unfair real!
Mmmmh ndo mana yake?illuminati very young??
wakubwa wa humu mmu. Mungu kanijalia mtoto wa kike, natafuta jina la kumpa sitaki kumpa jina la urithi au la vitabu vya dini, nahitaji jina la kipekee zaidi.msaada kwa mwenye jina zuri la ki english au kibantu.natanguliza my thanx
We unaishi wapi, mbona kuna mademu wengi tu wanaitwa hayo majina. Kwani lina ubaya gani, si sawa na Pili au Mwajuma, au?
nilitarajia dume nimuite lincoln,na sikutaka ya utra sound
muite lile jina la mjukuu wa mandela (mandla) au muite Mvenzo au Qunuwakubwa wa humu mmu. Mungu kanijalia mtoto wa kike, natafuta jina la kumpa sitaki kumpa jina la urithi au la vitabu vya dini, nahitaji jina la kipekee zaidi.msaada kwa mwenye jina zuri la ki english au kibantu.natanguliza my thanx
FAITH ni jina zuri maaana kuna mtoto anaitwa faith mzuri mweupe amejazia ana sura nzuri sana huyo dadawakubwa wa humu mmu. Mungu kanijalia mtoto wa kike, natafuta jina la kumpa sitaki kumpa jina la urithi au la vitabu vya dini, nahitaji jina la kipekee zaidi.msaada kwa mwenye jina zuri la ki english au kibantu.natanguliza my thanx