ngina rema
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 215
- 81
binafsi ningekushauri utafute jina la binti yako wewe mwenyewe...
Wakati mwingine si vyema kuwashirikisha watu kila jambo hata kama kuna umuhimu wa kufanya hivyo...
Ulimwengu huu umejaa mauzauza, wapo watu wabaya ambao hufanya kazi zao katika hali isiyoelezeka kirahisi...hawakawii kufanya manuizo juu ya jina ataloliandika hapa nawe kuvutiwa nalo...
Huu ni ushauri tu wa kiimani nimejaribu kukugusia, sio lazima sana uufuate kama kwako hutaona una umuhimu...
cjakosea kukuchagua kuwa kaka.. Ushauri wako ni mzuri na wa kipekee mno.. Stay blessed bro....