Msaada. natafuta jina zuri la kike

Msaada. natafuta jina zuri la kike

ubaguzi upi mkuu.mandela ni mwanaume mm nataka la kike nimpe my baby garl
Hongera MwenyEzzi Mungu amkuze na malezi yako mema ya wajibike.
Samahani kukushtua kidogo ili nikupe ka-Attention kwa kuwafadhili wa English only... No sweat thats your concern.
Mandela aitwa nelson.
Lakini nimelipenda la " MAHABA" kama alivyo shauri Miss MUNKARI hapo juu. Mahaba means Loving,Lover,lovable,charming.
Good Luck and blessings!!
 
Ntamsalimia tatizo maswali ana maswali mengi like mama huyo ndo uncle yupi tena mbele ya watu wote na hubby akiwepo.

Hahahah...mwambie wa kazini, kanisani or elsewhere suitable...lol!!

Waaaow!! that is the name of my daughter Daniella.

Halafu nilisahau...zawadi yangu kwake hiyo...

preview.iglx
 
my web@,,...muite "MARNAH",,....
wakubwa wa humu mmu. Mungu kanijalia mtoto wa kike, natafuta jina la kumpa sitaki kumpa jina la urithi au la vitabu vya dini, nahitaji jina la kipekee zaidi.msaada kwa mwenye jina zuri la ki english au kibantu.natanguliza my thanx
 
Last edited by a moderator:
Fernanda, Alexandra, Lorena, Lorraine, Catherine na mengine mengi tu. hongera sana.
 
ahante sana mkuu

Sasa umeshachagua? Maana nimekupa majina mazuri sana yanayo click akilini mwangu. Siku nikipata mjukuu nitaomba angalao nipate moja kati ya Fernanda na Alexandra. No so common names kwa waafrika ila ni mazuri.
 
wakubwa wa humu mmu. Mungu kanijalia mtoto wa kike, natafuta jina la kumpa sitaki kumpa jina la urithi au la vitabu vya dini, nahitaji jina la kipekee zaidi.msaada kwa mwenye jina zuri la ki english au kibantu.natanguliza my thanx

mwite princess
 
wakubwa wa humu mmu. Mungu kanijalia mtoto wa kike, natafuta jina la kumpa sitaki kumpa jina la urithi au la vitabu vya dini, nahitaji jina la kipekee zaidi.msaada kwa mwenye jina zuri la ki english au kibantu.natanguliza my thanx

Muite HAPPINESS:tea::cheer2::A S-baby:
 
mwajuma,chausiku,mwanadawa,mwanakombo,fatuma.

Hapo kwenye bold ni jina la kidini yeye amesema hataki ya kidini.

Mleta mada vipi kuhusu haya majina ya kibantu:-

Mwadawa
Mkiwa
Jalala
Havintishi
Nyamayao (siyo huyu wa JF)
mwanayumba
 
Chausiku, sikujua, sikufahamishwa, sikudunga, sijaona.
 
Back
Top Bottom