Msaada. natafuta jina zuri la kike

Msaada. natafuta jina zuri la kike

Binafsi ningekushauri utafute jina la binti yako wewe mwenyewe...

Wakati mwingine si vyema kuwashirikisha watu kila jambo hata kama kuna umuhimu wa kufanya hivyo...

Ulimwengu huu umejaa mauzauza, wapo watu wabaya ambao hufanya kazi zao katika hali isiyoelezeka kirahisi...hawakawii kufanya manuizo juu ya jina ataloliandika hapa nawe kuvutiwa nalo...

Huu ni ushauri tu wa kiimani nimejaribu kukugusia, sio lazima sana uufuate kama kwako hutaona una umuhimu...

Watu8,Mauzauza kama hayo yapo (sio siku zote yanatokea) japokua kuna baadhi ya watu kwa kufuata dini za wakoloni ambazo nazo zimeeleza kua hilo jambo lipo wanajifanya hawajui...Kila la kheri katika kutafuta jina na mwanao
 
Naam sio siku zote hutokea lakini vilevile sio kila mtu hutambua kwamba kuna nguvu ya uvuvio katika majini tuwapayo wana wetu...
Niliamua kuweka tu kama angalizo maana Ulimwengu huu una zaidi ya haya tuyaonayo na haya tujuayo...bila shaka ndugu yetu huyu atafanikiwa kupata jina mujarabu kwa ajili ya bintiye!

Watu8,Mauzauza kama hayo yapo (sio siku zote yanatokea) japokua kuna baadhi ya watu kwa kufuata dini za wakoloni ambazo nazo zimeeleza kua hilo jambo lipo wanajifanya hawajui...Kila la kheri katika kutafuta jina na mwanao
 
kweli zuri ila linaanza na herufi za mwisho litasumbua shulen

Litasumbuaje mkuu? Mbona watu hawa wamefanikiwa sana kielimu?

  1. Yonah Killagane - DG wa TPDC
  2. Yogesh Kotak - former CEO wa sigara
 
MWITE, Suzana,au nkasabuni,nshorangwe,nkatera,nkanusu,nkabahati au teratera
 
Chukua haya shida,matatizo,libolo,makata,cheusi,chawote,maimuna,siwema,sinawema,chiku,
 
Chukua haya shida,matatizo,libolo,makata,cheusi,chawote,maimuna,siwema,sinawema,chiku,HAYO NDO YAPO KWENYE CHATI MKUU
 
Mwaya chagua kati ya haya:winifrida,Adeleida,Catherine and Dayana(Diana) very special yan yanasound good,uktaka kukatisha na uktak kumwita huyo mumeo baba flani yan baba win! Baba Ade,we baba cathe,jamani baba D ! Teh! Kazi kwako!
 
Back
Top Bottom