Sasso
JF-Expert Member
- Aug 9, 2023
- 529
- 1,899
Kwema Wakuu,
Natarajia kuwepo Dodoma mjini soon kufanya project itakayonichukua kati ya mwaka 1 mpaka mwaka 1 na nusu.
Naomba wenyeji wa mji wanisaidie ABCs za kupata chumba kimoja cha kupanga self-contained chenye usalama na huduma za maji na umeme, kodi kwa mwezi etc
Nicheki PM au unaweza nipa mwongozo hapa hapa. Natanguliza shukrani.
Natarajia kuwepo Dodoma mjini soon kufanya project itakayonichukua kati ya mwaka 1 mpaka mwaka 1 na nusu.
Naomba wenyeji wa mji wanisaidie ABCs za kupata chumba kimoja cha kupanga self-contained chenye usalama na huduma za maji na umeme, kodi kwa mwezi etc
Nicheki PM au unaweza nipa mwongozo hapa hapa. Natanguliza shukrani.