RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,347
- 2,957
Wakazi wa Lushoto nipo wilayani kwenye nipo Lushoto mjini stand kuu ya Magari hapa ndo nimeingia muda si mrefu
Shida yangu bhana natafuta hostel yoyote ya kufikia na kukaa ndani ya siku kadhaa ambayo malipo yake Kwa siku chini ya Tsh 8,000 au kama pia kutakuwa ntapata chumba cha kupanga ambacho kina godoro- na kitanda kabisa itakuwa poa zaidi ila kwa Kodi ya kuanzia Tsh 50,000 kwenda chini
Ombi langu ni ilo tu kama kuna mtu anaweza nisaidia hiyo shida yangu naomba contact zako PM au nitumie namba yako nikupigie.
Shida yangu bhana natafuta hostel yoyote ya kufikia na kukaa ndani ya siku kadhaa ambayo malipo yake Kwa siku chini ya Tsh 8,000 au kama pia kutakuwa ntapata chumba cha kupanga ambacho kina godoro- na kitanda kabisa itakuwa poa zaidi ila kwa Kodi ya kuanzia Tsh 50,000 kwenda chini
Ombi langu ni ilo tu kama kuna mtu anaweza nisaidia hiyo shida yangu naomba contact zako PM au nitumie namba yako nikupigie.