Naunga mkono hoja. Apewe na kibao cha kukunia nazi akalie.kaa nyumbani uwe baba wa nyumbani
Nakazia,Mwibie
Naunga mkono hoja ndugu mjumbe, ila asisahau kunywa na eneji, ku boost mambo mambo kabla ya game.Mkaze vizuri
Mkaze vizuri
Usije kufanya hivyo nilimuona dada yangu tumbo moja alikuwa na inshu kama ya hivyo alimpa mume hela akanunue tofali za kujengea nyumba yeye akaenda kuanzisha bucha ya nyamaSi atanifungulia kesi ya utakatishaji fedha?
Naunga mkono hoja ndugu mjumbe, ila asisahau kunywa na eneji, ku boost mambo mambo kabla ya game.
Kabisa, ulipitwa wapi na hii dondoo mkuu,Kumbe energy huwa inasaidia pia
Mwanamke huwa anakukukumbu sana, akikupa hela hasahau hata ipite miaka 40, atakumbuka siku, tarehe na muda aliokupa, utajuta.
kaa nyumbani uwe baba wa nyumbani
Kabisa, ulipitwa wapi na hii dondoo mkuu,
Unataka nirefushe maelezo eeeh😂😂vhizo dondoo zilikuwa humu humu, hoping ni juzi, ushuhuda ulitolewa baada ya jamaa kushindwa ku perform akaombwa next match atumie energy ku boost.Labda kwasababu sijakaa na mtu anayezitumia wala mimi sijawahi kuzitumia
Unataka nirefushe maelezo eeeh😂😂vhizo dondoo zilikuwa humu humu, hoping ni juzi, ushuhuda ulitolewa baada ya jamaa kushindwa ku perform akaombwa next match atumie energy ku boost.