Msaada: Namuomba mke wangu hela ya mtaji ananinyima

Msaada: Namuomba mke wangu hela ya mtaji ananinyima

Humkazi sana,trust me!
Hiyo kumtaja bibi mzaa babu yake anakujaza tu ili uonekane unajua kumbe ni bure kabisa
Ningekua simkazi vizuri hata kileleni asingefika.Namkojoza daily
 
Huenda anawaza akikupatia hela ya mtaji ukitoka kimaisha utasahau ulikotoka lakini anatakiwa kutambua kuwa maisha ya Mume na Mke ni kusaidiana.
 
Jamani wadau nauliza kuna mapenzi kweli hapo?

Mwezi sasa umepita, anachonijibu sina hela na kila siku tunahesabu hela nyingine huwa ananipa nazipeleka benki

Ushauri tafadhali......
Kama ulikuwa unampa matunzo yote kama mkeo basi na yeye anawajibu wa kukupa matunzo yote kama mume we...... Nina maana pesa mapenzi nk... Kama leo hafanyi hivyo basi huyo siyo mke....chukuwa hatuwa haraka...
 
Back
Top Bottom