Msaada: Namuomba mke wangu hela ya mtaji ananinyima

Msaada: Namuomba mke wangu hela ya mtaji ananinyima

Ha ha ha ha ha ha. Kwa kweli maana mwanaume kuomba mtaji kwa mke wako tena mpaka uje public kulalamika unastahili kukaa nyumbani upikie watoto
kaa nyumbani uwe baba wa nyumbani [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo mkuu wewe ni mfugo wa kiume namaanisha marioo yaani
 
Back
Top Bottom