Msaada: Namuomba mke wangu hela ya mtaji ananinyima

Msaada: Namuomba mke wangu hela ya mtaji ananinyima

Tabia yako ndiyo imefanya mke wako akunyime hela ya mtaji ana ona kabisa hati hati ya kutomuheshimu , na huna nidhamu ya hela ,

Mi nakushauri fanya vibarua aone juhudi zako hapo ndio ataweza kukusaidia ...kwa kuwa ataona kabisa kuwa una nia na hicho ulichokianzisha

Sio kulala unaamka saa nne nani akupe mtaji kwa stayle hiyo !! Ukila na kipofu usimshike mikono
 
Hapo utaona kila rangi hata ambazo hujawahi kuziona.
 
umeudhihirisha ukubwa jinga wako mkuu, yaani upo kutegemea pesa za mwanamke???
dah! dah kweli binadam tupo tofauti sana
 
Una shida gani kidume unakula unalala na mbumye unagegeda?.Acha kulialia tafuta kazi taratibu mambo yatakaa sawa tu.
 
akikupa pesa upeleke benki fanya ndio mtaji halafu piga kimya
 
Hawa wanawake mnawapataga wapi?
Haya ndo madhara ya ugentleman asee.
Mimi wangu akipata mshahara anauleta mzima mzima.
 
Back
Top Bottom