Msaada - Namtafuta Fundi wa PlayStation 3 - PS3

Msaada - Namtafuta Fundi wa PlayStation 3 - PS3

We nenda tu moja kwa moja workshop kwao...pana ofisi hapo hapo wanaregister then wanaitengeneza, tatizo ni kuwa hizi warrant card zinakuwa za region fulani kama sikosei...kama uliinunua ulaya warrant inaweza ikawa not valid kwa region hii ya east africa(sina uhakika kama hili limebadilika)......ukitokea mwenge shuka na ile barabara inayokwenda cocacola then karibu na cocacola unafata ile bara bara kulia inayokwenda mikocheni B, then geti la pili kama sijakosea ndio ofisi zao zilipo...jamaa wako vizuri hakuna ubabaishaji, na nafikiri ndio only Authirized aget kwa hapa TZ

Nashukuru Mkuu ngoja sikukuu ipite nitaipeleka hapo.

Asante sana.

Tiba
 
Ndugu zangu wana JF,

Mwezi April mwaka huu niliomba msaada wa kuelekezwa wapi ninaweza kumpata fundi wa PS3. Wengi walijitokeza kunielekeza wapi pa kuipeleka na wengine kunielekeza kipi ninapashwa kufanya ili kui-fix. Leo nakuja kuleta feedback.

Ukweli ni kwamba service centre za Sony (zipo mbili hapa Dar moja mwenge na nyingine mtaa wa kipata) hazijapewa ruksa na sony kuzifanyia matengenezo PS3. Kwa kifupi ni kwamba hakuna authorized dealer hapa Tanzania anayeweza kutengneza PS3. Nilielekezwa kwa mtu mmoja pale kisutu ambaye yeye ni authorized dealer wa PANASONIC. Nilimpelekea hiyo PS3 lakini alikaa nayo almost 2 months lakini bado alishindwa kuitengeneza na hivyo kuirudisha kwangu ikiwa bado ni mbovu.

Niliamua kumwomba jamaa yangu mmoja aliyekuwa anasafiri kwenda kwenye nchi moja ya Europe ambaye alinisaidia kuipeleka kwa mafundi wa huko na jana nimeipokea ikiwa tayari imetengenezwa.

Nia ya kuleta taarifa hii hapa ni kuwajulisha wana JF kwamba kwa hapa bongo hakuna authorized dealer wa PS3.

Tiba
 
Ndugu zangu wana JF,

Mwezi April mwaka huu niliomba msaada wa kuelekezwa wapi ninaweza kumpata fundi wa PS3. Wengi walijitokeza kunielekeza wapi pa kuipeleka na wengine kunielekeza kipi ninapashwa kufanya ili kui-fix. Leo nakuja kuleta feedback.

Ukweli ni kwamba service centre za Sony (zipo mbili hapa Dar moja mwenge na nyingine mtaa wa kipata) hazijapewa ruksa na sony kuzifanyia matengenezo PS3. Kwa kifupi ni kwamba hakuna authorized dealer hapa Tanzania anayeweza kutengneza PS3. Nilielekezwa kwa mtu mmoja pale kisutu ambaye yeye ni authorized dealer wa PANASONIC. Nilimpelekea hiyo PS3 lakini alikaa nayo almost 2 months lakini bado alishindwa kuitengeneza na hivyo kuirudisha kwangu ikiwa bado ni mbovu.

Niliamua kumwomba jamaa yangu mmoja aliyekuwa anasafiri kwenda kwenye nchi moja ya Europe ambaye alinisaidia kuipeleka kwa mafundi wa huko na jana nimeipokea ikiwa tayari imetengenezwa.

Nia ya kuleta taarifa hii hapa ni kuwajulisha wana JF kwamba kwa hapa bongo hakuna authorized dealer wa PS3.

Tiba

NAKUPONGEZA KWA FEEDBACK NA TAARIFA ULIYOTUPA...Tuige mfano huu jaman,kurejesha feedback.
 
thx for the feedback mimi pia ninayo ps3 ila ile ps3 slim

Ndugu zangu wana JF,

Mwezi April mwaka huu niliomba msaada wa kuelekezwa wapi ninaweza kumpata fundi wa PS3. Wengi walijitokeza kunielekeza wapi pa kuipeleka na wengine kunielekeza kipi ninapashwa kufanya ili kui-fix. Leo nakuja kuleta feedback.

Ukweli ni kwamba service centre za Sony (zipo mbili hapa Dar moja mwenge na nyingine mtaa wa kipata) hazijapewa ruksa na sony kuzifanyia matengenezo PS3. Kwa kifupi ni kwamba hakuna authorized dealer hapa Tanzania anayeweza kutengneza PS3. Nilielekezwa kwa mtu mmoja pale kisutu ambaye yeye ni authorized dealer wa PANASONIC. Nilimpelekea hiyo PS3 lakini alikaa nayo almost 2 months lakini bado alishindwa kuitengeneza na hivyo kuirudisha kwangu ikiwa bado ni mbovu.

Niliamua kumwomba jamaa yangu mmoja aliyekuwa anasafiri kwenda kwenye nchi moja ya Europe ambaye alinisaidia kuipeleka kwa mafundi wa huko na jana nimeipokea ikiwa tayari imetengenezwa.

Nia ya kuleta taarifa hii hapa ni kuwajulisha wana JF kwamba kwa hapa bongo hakuna authorized dealer wa PS3.

Tiba
 
Back
Top Bottom