Oga kwa bidii sana maana wewe nakujua huwa baridi ilkupiga kidogo tu huogi.Habari za wakat huu wanajukwaa....
Naomba kujuzwa namna ya kuondoa huu weusi katikati ya mapaja maana unankosesha raga
Asnteni sana
Punguza uzito wa mapaja na jisugue vizuri unapooga usisahau nyuma ya matako kunaweka uchafu mwingi usipojisugua.huo weusi unawasha au ni kutokana na mchubuko pindi utembeapo?(hii huwakuta wamama wanene)
Acha kumdanganya mwenzio*Chukua pilipili isage changanya na mafuta ya moto na mafuta ya taa koroga ichanganye vizuri. Alafu pakaa matatizo yataisha mkuu
Namna sahihi ni kupunguza unene,kwani hata ukipata hiyo dawa ya kuondoa hiyo rangi, kwa jinsi yanavyoendelea kusuguana huo weusi utarudi tu..Habari za wakat huu wanajukwaa....
Naomba kujuzwa namna ya kuondoa huu weusi katikati ya mapaja maana unankosesha raga
Asnteni sana