Eng HoffCani Sr
Member
- Nov 12, 2023
- 14
- 53
Salaam wanaJukwaa!
Naomba kujuzwa ni namna gani waweza kumpa msaada mtoto mwenye umri kati ya miaka (14-17) aliyeanza kujihusisha na hayo mambo ya ushoga either anafanyia wenzake au anafanyiwa na wenzake, ili kumweka mbali na hivyo vitendo.
Natanguliza Shukrani.
Naomba kujuzwa ni namna gani waweza kumpa msaada mtoto mwenye umri kati ya miaka (14-17) aliyeanza kujihusisha na hayo mambo ya ushoga either anafanyia wenzake au anafanyiwa na wenzake, ili kumweka mbali na hivyo vitendo.
Natanguliza Shukrani.