Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 8,920
- 16,199
wakati naingia ktk huu uzi mtu wa kwanza kukumbuka ni weweWeka picha wajuzi wa mambo ya ngozi tujue tunakusaidiaje.
wakati naingia ktk huu uzi mtu wa kwanza kukumbuka ni weweWeka picha wajuzi wa mambo ya ngozi tujue tunakusaidiaje.
na wewe unataka UshauriAcha kumdanganya mwenzio
duuh aseehTumia maji ya betri sugua kwa msasa
wewe ulishafanya hiviChukua viazi vile vya chipsi viblend upate uji mzito,then changanya na limao au ndimu.Apply wakati wa asubuhi na jion unaipaka kwa dk 10,then ikikauka unaanza kusugua kama unascrub kwa dk kadhaa ukimaliza nawa paka mafuta ya nazi.
Pia uwe unavaa skintight za cotton kupunguza msuguano wa mapaja.Tumia na makwapani kama una weusi...usisahau kutoa feedback after two weeks
Mbona washangaa mkuu?duuh aseeh
Mkuu huo ushauri wako sidhani kama utamfaaMbona washangaa mkuu?
Mpewa ushauri lazima awe mchujaji wa mawazo, mkuu.Mkuu huo ushauri wako sidhani kama utamfaa
Mpewa ushauri lazima awe mchujaji wa mawazo, mkuu.
...lips denda!Acha kumdanganya mwenzio