Msaada namna ya kufikisha malalamiko JWTZ

Barabarani ni Traffic Police, so ndiyo inatakiwa waje wapime....ila kama unataka kubeba dunia tafuta kambi ya karibu kaulize utaratibu wa kufidiwa.......
 
umgekuwa umeumizwa ningekushauri kitu lakini kama hujaumia tena dereva boda boda nakushauri tu acha yaishe
 
Muibukie tu huko huko kambini asiposomeshwa number endelea mbele, watumishi wengi waoga siku hizi haki haki tu
 
Habari za usiku wapendwa katika bwana.

Leo nimepatwa na ajali iliyosababishwa na dereva wa JW aliyekuwa akiendesha gari aina ya hiace ndogo ivi yenye namba 1834 maeneo ya Ofisi za jiji Mwanza.

Nikiwa natokea maeneo ya maji haouse nikiendesha ki TVS changu, nilipofika yalipomataa pale maeneo ya jiji ghafla gari hiyo ili ni overtake upande wangu wa kulia kisha ikakata kona ya ghafla ili kuelekea maeneo ya seketure.

Gari iliniparamia ubavuni na kupelekea kuanguka pembeni, Nikiwa pale chini dereva wa gari husika aliliondoa kwa kasi kiasi cha kusababisha kuendelea kunisukuma zaidi.

Kwavile sikuwa na mwendo mkali sikuumia sana zaidi ya kupata maumivu mguu wa kulia na hii imesababishwa na vile alivyonipush akitokea upande wangu wa kulia, pia pikipiki imepata hitirafu kidogo.

Dereva wa gari husika hakutamka chochote pia hakushuka ndani ya gari, aliendelea na safari yake.

Naomba kufahamu ni vipi nitatoa malalamiko yangu kuhusu hili tukio ili ndugu zetu hawa wawe na nidhamu wanapokuwa barabarani, niende polisi au niende kambini kwao maeneo ya Airport.
....Ushauri tu: kama umetoka salaam na umepata hasara kidogo tu isiyohitaji malipo, wewe Mshukuru Mungu na Uendelee na Mihangaiko yako.
Karma itamfanyia Kazi.
Duniani sio lazima kila kitu Upambane!
 
Sasa km ujaumia unatafuta nin? Mshukuru Mungu kisha nenda dukani kanunue side mirrow na indicator ni buku 2 mbili tu uendelee na maisha.
 
Habari za usiku wapendwa katika bwana.

Leo nimepatwa na ajali iliyosababishwa na dereva wa JW aliyekuwa akiendesha gari aina ya hiace ndogo ivi yenye namba 1834 maeneo ya Ofisi za jiji Mwanza.

Nikiwa natokea maeneo ya maji haouse nikiendesha ki TVS changu, nilipofika yalipomataa pale maeneo ya jiji ghafla gari hiyo ili ni overtake upande wangu wa kulia kisha ikakata kona ya ghafla ili kuelekea maeneo ya seketure.

Gari iliniparamia ubavuni na kupelekea kuanguka pembeni, Nikiwa pale chini dereva wa gari husika aliliondoa kwa kasi kiasi cha kusababisha kuendelea kunisukuma zaidi.

Kwavile sikuwa na mwendo mkali sikuumia sana zaidi ya kupata maumivu mguu wa kulia na hii imesababishwa na vile alivyonipush akitokea upande wangu wa kulia, pia pikipiki imepata hitirafu kidogo.

Dereva wa gari husika hakutamka chochote pia hakushuka ndani ya gari, aliendelea na safari yake.

Naomba kufahamu ni vipi nitatoa malalamiko yangu kuhusu hili tukio ili ndugu zetu hawa wawe na nidhamu wanapokuwa barabarani, niende polisi au niende kambini kwao maeneo ya Airport.
Pole sana. Mtumishi wa JWTZ anatakiwa kuwa kuheshimu sheria za barabarani kama watumiaji wengine, ni haki yako kusikilizwa. Unaweza kwenda kutoa taarifa kwa Mkuu wa Kikosi cha Kanda pia. Kama hawakupi ushirikiano unaweza kwenda kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza. Mhe. Mongela atamuagiza Mkuu wa Idara ya MP atakusikiliza.
 
Pole kwa yaliyokukuta mwaka jana nilishuhudia Lori lao lililokuwa kwenye mwendo kasi na kuparamia haisi yenye abiria na kuua watu 6 na majeruhi mengi!! Walichofanya waliwabeba wakawapeleka hospital ya jirani, na kuondoka zao!!
 
Mkuu wangu,kama unaweza kutembea vizuri,hujaumia sana achana na hayo mambo,,ila kama utaona wanaokushaur sijui uende kwa mkuu wa mkoa sijui kambini nakuomba ukienda utuletee mrejesho
 
Habari za usiku wapendwa katika bwana.

Leo nimepatwa na ajali iliyosababishwa na dereva wa JW aliyekuwa akiendesha gari aina ya hiace ndogo ivi yenye namba 1834 maeneo ya Ofisi za jiji Mwanza.

Nikiwa natokea maeneo ya maji haouse nikiendesha ki TVS changu, nilipofika yalipomataa pale maeneo ya jiji ghafla gari hiyo ili ni overtake upande wangu wa kulia kisha ikakata kona ya ghafla ili kuelekea maeneo ya seketure.

Gari iliniparamia ubavuni na kupelekea kuanguka pembeni, Nikiwa pale chini dereva wa gari husika aliliondoa kwa kasi kiasi cha kusababisha kuendelea kunisukuma zaidi.

Kwavile sikuwa na mwendo mkali sikuumia sana zaidi ya kupata maumivu mguu wa kulia na hii imesababishwa na vile alivyonipush akitokea upande wangu wa kulia, pia pikipiki imepata hitirafu kidogo.

Dereva wa gari husika hakutamka chochote pia hakushuka ndani ya gari, aliendelea na safari yake.

Naomba kufahamu ni vipi nitatoa malalamiko yangu kuhusu hili tukio ili ndugu zetu hawa wawe na nidhamu wanapokuwa barabarani, niende polisi au niende kambini kwao maeneo ya Airport.
kwa kua kuingia kambini kwao ni ngumu maana watakuhoji na ukieleza shida zako wenzie wa getini watamlinda,nenda hapo pembeni ya mahakama pale bwalo la mgambo kuna viongozi wa kijeshi watakusaidia,ukienda traffic police wanaweza wakahisi usumbufu kumtafuta afisa wa Jeshi na wakakupotezea
 
Back
Top Bottom