That Gentleman
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,186
- 3,598
Nahisi utapoteza muda tu mkuu, fanya kuipotezea kabisa kwasababu mwisho kabisa watakuambia "tutampatia adhabu ya kijeshi" so hii inakuwa haijakusaidia chochote...
Jazaneni ujinga.....ungemrushia hata jiwe angesimama tu. Akileta za kuleta mnazichapa tu. ukiona anakuzid unamtia hata kitofa cha kichwa. Usawa huu hamna kumuogopa mtu mzee.
Kuna gari ya binafsi yenye namba nne 1834? Natamani kujua elimu yakoMwanajeshi alikuwa anaendesha hiace ya jeshi au binafsi? Halafu wewe kama dereva unashindwa kujua kabisa traffic case inareportiwa wapi?
acha uwoga mtoto wa kiumeJazaneni ujinga.....
nenda kambini kalianzishe mkuu, uje utupe mrejesho.niende kambini kwao maeneo ya Airport.
....Ushauri tu: kama umetoka salaam na umepata hasara kidogo tu isiyohitaji malipo, wewe Mshukuru Mungu na Uendelee na Mihangaiko yako.Habari za usiku wapendwa katika bwana.
Leo nimepatwa na ajali iliyosababishwa na dereva wa JW aliyekuwa akiendesha gari aina ya hiace ndogo ivi yenye namba 1834 maeneo ya Ofisi za jiji Mwanza.
Nikiwa natokea maeneo ya maji haouse nikiendesha ki TVS changu, nilipofika yalipomataa pale maeneo ya jiji ghafla gari hiyo ili ni overtake upande wangu wa kulia kisha ikakata kona ya ghafla ili kuelekea maeneo ya seketure.
Gari iliniparamia ubavuni na kupelekea kuanguka pembeni, Nikiwa pale chini dereva wa gari husika aliliondoa kwa kasi kiasi cha kusababisha kuendelea kunisukuma zaidi.
Kwavile sikuwa na mwendo mkali sikuumia sana zaidi ya kupata maumivu mguu wa kulia na hii imesababishwa na vile alivyonipush akitokea upande wangu wa kulia, pia pikipiki imepata hitirafu kidogo.
Dereva wa gari husika hakutamka chochote pia hakushuka ndani ya gari, aliendelea na safari yake.
Naomba kufahamu ni vipi nitatoa malalamiko yangu kuhusu hili tukio ili ndugu zetu hawa wawe na nidhamu wanapokuwa barabarani, niende polisi au niende kambini kwao maeneo ya Airport.
Pole sana. Mtumishi wa JWTZ anatakiwa kuwa kuheshimu sheria za barabarani kama watumiaji wengine, ni haki yako kusikilizwa. Unaweza kwenda kutoa taarifa kwa Mkuu wa Kikosi cha Kanda pia. Kama hawakupi ushirikiano unaweza kwenda kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza. Mhe. Mongela atamuagiza Mkuu wa Idara ya MP atakusikiliza.Habari za usiku wapendwa katika bwana.
Leo nimepatwa na ajali iliyosababishwa na dereva wa JW aliyekuwa akiendesha gari aina ya hiace ndogo ivi yenye namba 1834 maeneo ya Ofisi za jiji Mwanza.
Nikiwa natokea maeneo ya maji haouse nikiendesha ki TVS changu, nilipofika yalipomataa pale maeneo ya jiji ghafla gari hiyo ili ni overtake upande wangu wa kulia kisha ikakata kona ya ghafla ili kuelekea maeneo ya seketure.
Gari iliniparamia ubavuni na kupelekea kuanguka pembeni, Nikiwa pale chini dereva wa gari husika aliliondoa kwa kasi kiasi cha kusababisha kuendelea kunisukuma zaidi.
Kwavile sikuwa na mwendo mkali sikuumia sana zaidi ya kupata maumivu mguu wa kulia na hii imesababishwa na vile alivyonipush akitokea upande wangu wa kulia, pia pikipiki imepata hitirafu kidogo.
Dereva wa gari husika hakutamka chochote pia hakushuka ndani ya gari, aliendelea na safari yake.
Naomba kufahamu ni vipi nitatoa malalamiko yangu kuhusu hili tukio ili ndugu zetu hawa wawe na nidhamu wanapokuwa barabarani, niende polisi au niende kambini kwao maeneo ya Airport.
Ang'ang'anie afu aambiwe amejaribu 'kuteka' gari la jw? Ungekuta yupo ndani saivi....labda kama ungeweza kuwang'ang'ania eneo la ajali
kwa kua kuingia kambini kwao ni ngumu maana watakuhoji na ukieleza shida zako wenzie wa getini watamlinda,nenda hapo pembeni ya mahakama pale bwalo la mgambo kuna viongozi wa kijeshi watakusaidia,ukienda traffic police wanaweza wakahisi usumbufu kumtafuta afisa wa Jeshi na wakakupotezeaHabari za usiku wapendwa katika bwana.
Leo nimepatwa na ajali iliyosababishwa na dereva wa JW aliyekuwa akiendesha gari aina ya hiace ndogo ivi yenye namba 1834 maeneo ya Ofisi za jiji Mwanza.
Nikiwa natokea maeneo ya maji haouse nikiendesha ki TVS changu, nilipofika yalipomataa pale maeneo ya jiji ghafla gari hiyo ili ni overtake upande wangu wa kulia kisha ikakata kona ya ghafla ili kuelekea maeneo ya seketure.
Gari iliniparamia ubavuni na kupelekea kuanguka pembeni, Nikiwa pale chini dereva wa gari husika aliliondoa kwa kasi kiasi cha kusababisha kuendelea kunisukuma zaidi.
Kwavile sikuwa na mwendo mkali sikuumia sana zaidi ya kupata maumivu mguu wa kulia na hii imesababishwa na vile alivyonipush akitokea upande wangu wa kulia, pia pikipiki imepata hitirafu kidogo.
Dereva wa gari husika hakutamka chochote pia hakushuka ndani ya gari, aliendelea na safari yake.
Naomba kufahamu ni vipi nitatoa malalamiko yangu kuhusu hili tukio ili ndugu zetu hawa wawe na nidhamu wanapokuwa barabarani, niende polisi au niende kambini kwao maeneo ya Airport.