MZEE MSASAMBEGU
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,780
- 2,556
Jana asubuhi nimeamka na kukuta najisikia muwasho sehemu ya shingo. Nikajua ni kawaida ya matatizo madogomadogo ya mwili. Leo nimeangalia nimekuta kama michirizi shingoni inawasha kwa sababu ngozi yangu ni nyeupe inaonekana sana.
Nimewaonesha watu wenye experience wananambia ni mdudu anayeitwa nairobi fly kanipitia. Sasa wakuu naombeni msaada jamani dawa nayoweza kutumia kuzuia asiniharibu ngozi mwili mzima kwa sababu kwa mbali naona ishaanza kubabuka sehemu za shingoni.
Kama kunamtu ili tatizo lishawahi mkuta naomba anisaidie ushauri jamani sababu nimekosa raha kabisa.
Akhsanteni
Nimewaonesha watu wenye experience wananambia ni mdudu anayeitwa nairobi fly kanipitia. Sasa wakuu naombeni msaada jamani dawa nayoweza kutumia kuzuia asiniharibu ngozi mwili mzima kwa sababu kwa mbali naona ishaanza kubabuka sehemu za shingoni.
Kama kunamtu ili tatizo lishawahi mkuta naomba anisaidie ushauri jamani sababu nimekosa raha kabisa.
Akhsanteni