Msaada: Mwanangu amekuwa addicted na catoon (katuni)

Msaada: Mwanangu amekuwa addicted na catoon (katuni)

Asanteni wooote,nimeelewa kitu hapa!!!!!

Mrehemiwe duniani na kesho mbele za haki!!!!
 
Tatizo ni kuiga kwani watu wengine wamefanya cartoon iwe badala ya ntumishi wa ndani, yaani mtoto akilia mwekee cartoon, sio maadili mazuri ya kumlea mtoto kwani anahitaji awe active kwa kucheza kama unaweza mtoe pindi unapopata mda akacheze nje au kutembea nae jioni ingawa wengi wanarudi late lakini hata weekend ni vizuri, Mimi binafsi sikubaliani eti tom and jerry inampa akili mtt
 
cartoon ni special kwa kuharibu watoto ,inaondoa uhalisia ,cartoon wapo uchi afu wanafanya vitendo,cartoon inajenga uadui wa mzazi na mtoto,maisha hayafunzwi kwa cartoon ila uhalisia,yapo mengi sana cartoon ni mpango angamizi
 
[mpe katuni za aina nyingi mfano za Lugha ya Kiingereza Boomerang, CT Catoon mbona zinamafunzo mengi na atakuwa mwepesi wa lugha kuliko Comedian za akina Joti[/QUOTE]

Hii ya kuwa mzuri kweli lugha ni sawa,kuna mdogo wangu ni mzuri sana kwenye lugha source ilikuwa katuni



Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
mpe katuni za aina nyingi mfano za Lugha ya Kiingereza Boomerang, CT Catoon mbona zinamafunzo mengi na atakuwa mwepesi wa lugha kuliko Comedian za akina Joti
Hii ya kuwa mzuri kweli lugha ni sawa,kuna mdogo wangu ni mzuri sana kwenye lugha source ilikuwa katuni



Sent from my iPhone using JamiiForums app[/QUOTE]

cartoon haifundishi lugha ,shule au jamii ndo inafundisha,hivi kama tom and jerry unafundishwa lugha ipi?je unajua vitu vinavyoonyesha kwenye cartoon ni maumbile ya uchi na mtoto anaona na anapenda,mtoto wa kayumba anaelewa nini ndani ya zile grammer?
 
Kwani homework ni nini kaka???!!!
ba be bi bo bu

eye ear Noise arm foot leg

wagagagigikoko

fullmassinonder FULL-MASS-IN-ORDER


miaka 5 hapewi Homework kwani anasoma kwa vitendo zaidi
mwache aangalie Katuni, kucheza na Computer au simu nk
kwani sisi hatuna uwezo wa kuwanunulia vigari, biskeli treni nk
 
Hii inategema na mtoto yupoje.
Mfano kwa wangu:
Nina watoto wawili wa 9 yrs(Std 3) wakiume na 6 yrs wakike(Top class)
Hawa wanajua katuni zote mpaka wajukuu wa katuni.
Ila wao ratiba yao wanaiweza.
Wanaosoma English Medium School:
Time Table:
06h30:Kuamka kunywa chai
07h00:Kwenda Shule(Wanatembea Maana tupo Karibu na Shule)
15h00:Wanatoka shule(Wanakuwa wameishakula shule)
15h15:Wanaenda Madrasa(Chuo)
18h45:Baada ya kuwa mameswali Salat Isha,wanatoka chuo wanakuja Home
19h00 - 20h00:Home Work,kisha chakula
20h00 - 09h00:Katuni kwenda mbele mpaka usingizi unakuwakuta hapo hapo

Weekends:
08h00 - 10:00 Madrasa(Chuoni)
10h00 - 12:00 Weekend Home works
12h00 - 14:00 hatuni na kula
14h00 - 15:00 Kulala,hapa wengine wanapoteneza baadhi ya siku
15h00 - 18h45:Madrasa (Chuo)

Nimechogundua kwenye Catoons ni kwamba wame Gain alot.
Asikuadangaye mtu,mtoto ambae anatizama katuni ana uelewa mkubwa sana kuliko mtoto asietizama katuni.

1)Kwangu nime experience uwezo wao wa Lugha ya Kiingereza umekuwa kwa kazi ya ajabu sana.
Na hii ilikuwa kwamba wanafuatilia vitendo na maamrisho,na mara nyingi neno kama likiwapita basi wanauliza,na ukiwaambia hawasahau tena,maana mmoja akisahau mwingine anamkumbusha,is really good.

2)Uwezo wa kufanya maamuzi pia ni tofauti sana,mtoto mwenye kutizamana Catoons wengi wanamaamuzi ambayo ni sahihi sana,na uwezo mkubwa wa kujieleza na kukwepa maswali ya mitego na uwezo mkubwa wa kuchambua mambo.
Unaweza kukuta kwamba mtu mzima kichwa kinakuzunguka hata hujui ufanye maamuzi yapi,basi wakati huo utashangaa anakuambia Baba au Mama siufanye hivi itakuwa hivi(Jaribuni hilikufanya majaribio mtagundua)

3)Kujiamini:watoto wengi wenye kutizama catoons wanajiamini sana,hata mwalim akimuita basi jua anakwenda with confidence na yupo tayari kwa lolote.Na hata mzazi ukimuhoji basi anajiamini sana na kutoa maelezo sahihi.

Kama mtoto anapenda Catoons mwachie tu,atakapokuwa basi ratiba ya Shule ndio itakayobadilisha maisha yake.La Sivyo ukimdhibiti hapo basi atatoka nje atakutana na watoto waliopinda kama ni wakike basi wataanza kuchezeana uchi Sasa kipi bora.

Mie wangu niliwaachi,mpaka umri huo wameofikia ndio ratiba ya shule na Madrasa ika waset outomatically,na wala walikuwa hawana michezo ya ajabu nje,unajua lazima tukubali sasa hivi unavyomlea mwanao sio mwenzio anavyomlea mwanae,kuna watoto wadogo sana wanamambo ya kikubwa,na hii inaanzia katika makuzi yao na familia zao.Kwahiyo fanya kitu kitakachofanya mtoto awe busy.

Yangu ni Hayo
 
km mwanao anaangalia sana KATUNI kuna baadhi ya mambo atapwaya! Inavyosemekana kila katuni inachorwa kwakuanza na Sura ya sehemu ya SIRI aidha ya Me/ke then Lina maliziwa umbo lahuyo katuni Inasemakana Lengo la wazungu nikuvuruga Akili za watt wakiAfrika so Ukifuatilia sana mtt anaependa sana Katuni hata mambo ya IBADA kwake umlazimishe Fuatilia utaelewa..!

Yule jamaa kawaharibu akili wengi ukiwemo wewe!
 
Ila sio mbaya ukimpa hii katuni "DESPICABLE ME" inaelimisha sana hii!
 
cartoon inaangaliwa na watoto na inatengenezwa na watu wazima wanao act watoto,cartoon inaleta addiction ya artificial world sio natural,mtoto humfunzi kwa cartoon bali nature,cartoon ni uchi wa mtu kids see that ubongo wao unakuwa unaulisha virtual world,cartoon iko sponsered na mabillionares watoto waone ila hawasaidi nchi masikini,think?tangu lini panya anatumia uma?mwanao anacheka huoni athari for sure,inaleta chuki endapo ukimzuia kuangalia,it makes kids fall in an artificial world which is loss of humanity,stupid fashions, hata hamuelewi hii nchi basi
 
cartoon inaangaliwa na watoto na inatengenezwa na watu wazima wanao act watoto,cartoon inaleta addiction ya artificial world sio natural,mtoto humfunzi kwa cartoon bali nature,cartoon ni uchi wa mtu kids see that ubongo wao unakuwa unaulisha virtual world,cartoon iko sponsered na mabillionares watoto waone ila hawasaidi nchi masikini,think?tangu lini panya anatumia uma?mwanao anacheka huoni athari for sure,inaleta chuki endapo ukimzuia kuangalia,it makes kids fall in an artificial world which is loss of humanity,stupid fashions, hata hamuelewi hii nchi basi

Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa!
 
Mpangie ratiba ya yale yote anayotakiwa kufanya na uisimamie.kilio cha mtoto kisikuendeshe itakuja kujuta
 
Du miaka 5 unampa Home work
Hata chekechea hawawapi hivyo ngoja afike STD IV au V
mpe katuni za aina nyingi mfano za Lugha ya Kiingereza Boomerang, CT Catoon mbona zinamafunzo mengi na atakuwa mwepesi wa lugha kuliko Comedian za akina Joti

Unaongelea chekechea zp mkuu? Mbona chekechea nyingi ni lazime hm work watoto wapewe na wana deadline. Labda unazungumzia za miaka ya tisini
 
Salama wakuu!

Mimi nina mtoto wa miaka 5 mtoto huyu anapenda sana katuni anaweza kuangalia katuni asubuhi mpaka jioni bila kuchoka

Na ikitokea ukizima Tv ni kilio mtindo mmoja mpaka uwashe

Kuhusu shule anasoma chekechea na huwa nikimpaga home work natumia nguvu za ziada sababu ya katuni

Je kuangalia katuni kwa masaa mengi kunaweza kumwadhiri?

Au katuni zinaweza kumjengea uwezo zaidi?

Naombeni kueleweshwa wanajamvi natarajia majibu mazuri kutoka kwenu

Mwache akue, mwache aburudike na hizo katuni.. always home work ya mtoto kama huyo inatakiwa iwe kama nusu saa tu na si vinginevyo...!

nakumbuka mimi wakati niko darasa la pili, enzi hizo tv nilikuwa naisikia kwenye pipa tu, nilikuwa nasoma kwa muda wa saa moja tu chini ya uangalizi wa mama ambae alikuwa ni mwalimu, bado nikawa nafanya vizuri darasani..

sasa mtoto wa chekechea unataka umpe kazi ya masaa manne? amekuwa mwana chuo huyo kaka?

mwache mtoto afurahie maisha ya utoto... sana sana tu kama ni home work, awe awe anafanya immediately baada ya kupata chakula chake cha mchana!!! nusu saa tu inatosha usimchoshe mtoto!
 
Achana naye huyo dogo ale raha duniani. We kama hukuangalia katuni ukiwa mdogo usimbanie dogo. KAMA UNAMWOGOPA AKILILIA KATUNI KWA NINI UOGOPE MADHARA YA KATUNI KWAKE??.
By the way tangu akiwa mdngo ulikuwa unaondoka unamwacha kalala, unarudi unamkuta kalala-hujui katuni hizo ndo anaona kama mamake??

Mhhhh ??????,???!!!!!!!!!!!
!!!!!!!!!!!!!!!!
 
www.demonbuster.com

hahaha utajitambua ukipenda

Wenzako wanas0ma miaka miaka kutengeneza hizo Animation! We unakuja na hoja nyepesi eti Uchi ule! Yani mnavyodanganya as if hatujui hizo Animation zinavyotenezwa! Halafu we ukitaka kuchora katuni unachora uchi?! Kijana unapotea!
 
Wenzako wanas0ma miaka miaka kutengeneza hizo Animation! We unakuja na hoja nyepesi eti Uchi ule! Yani mnavyodanganya as if hatujui hizo Animation zinavyotenezwa! Halafu we ukitaka kuchora katuni unachora uchi?! Kijana unapotea!

IQ zinazidiana sishangai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom