Mada safi sana hii, imenigusa.
Nilipofika home nimemfungulia uzi huu huyu dogo 9yrs old. He's an addict too ili asome kwa sauti mimi na máma yake tukisikilza, zile sehemu zilizokuwa zinamsuta akawa anazisoma kwa sauti ya chini... lol.
Baadaye nilimuuliza mtoto aliyekuwa addicted ná katuni tumsaidieje? Akajibu; ubongo wake ufutwe halafu aanze upya.
Faida ninayoiona ambayo mtoto.anaweza kuipata kwa kuangalia katuni, pamoja ná zingine; ni kuboresha kiingereza hasa kusikiliza na kuelewa matamshi, hiyo tutake tusitake ni lazima, (mambo ya kuenzi lugha ya taifa subirini kwanza)
Too much is harmfull they said, ni lazima tusimamie ratiba za watoto wetu ili wajue maisha ni kujipanga, wawe na ratiba kuanzia sasa, by the way hawawezi kukwepa ndo maisha.