muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,835
- 14,727
Nimejifunza kitu...
Unapomkataza mtoto jambo fulani akaishia kulia kupita kiasi ujue unamdekeza
KINACHO TUPONZA WAZAZI wa kileo tuna act tunawapenda sana watoto wetu sana
aiwezekani mtu uangalie tv tangu asubuhi,hivi wewe mzazi uwezi zima tv na kupiga marufuku mtu yeyote kuwasha?
usasa unatuharibu uwezi weka tv chumbani kwa mtoto eti ni kwenda na wakati hiyo aiwezekani.
suluhisho panga mda wa mwanao kuangalia tv na kuna aina ya katuni tom and jerry sawa na zile za wanyama wa kawaida
but kumruhusu kuangalia zombi una mpa rho za kishetani mwanao
mwenye masio na asike
Prof. Michongwe alinifundisha pale Marangu TTC enzi hizo Saikolojia kuwa mtoto uanzia miaka 2 hadi 5 ana michezo zaidi ya 300 kwa kutwa na kila dk anabadiliMkuu, hata hawa wa chekechea nao wana homework zao. Kwa mfano, mwalimu anaweza kugandamizia herufi, halafu akija nyumbani namuelekeza namna ya kugandamizia zile herufi ili kutengeneza herufi halisi au picha. Au wanaweza kupewa homework ya kuandika 1 mpaka 10 au a mpaka u, akija nyumbani unamsaidia kuandika hizo namba. Umeona eeh?
Using Reverse Psychology with ChildrenHere, the consequence will be directly proportional to the misbehavior of the child. To give an example, if the child throws his personal items like clothes, books or toys out of his cupboard onto the floor in an angry outburst, you first wait for his temper to subside and then make him put everything back into place.
Mimi mwanangu hupendelea kumnunulia katuni ya DORA THE EXPLORER hii inafundisha mambo mengi na huwa inamshirikisha yeye mtoto kujibu maswali na mambo mengi ,katuni kama tom and jerry mi sidhani kama inafundisha....na kuhusu kwamba anangalia katuni sana sio nzuri ...too much is bad
km mwanao anaangalia sana KATUNI kuna baadhi ya mambo atapwaya! Inavyosemekana kila katuni inachorwa kwakuanza na Sura ya sehemu ya SIRI aidha ya Me/ke then Lina maliziwa umbo lahuyo katuni Inasemakana Lengo la wazungu nikuvuruga Akili za watt wakiAfrika so Ukifuatilia sana mtt anaependa sana Katuni hata mambo ya IBADA kwake umlazimishe Fuatilia utaelewa..!
Kwa kweli wasio na elimu wanawaharibu sana akili ninyi,yule shekhe wa Nairobi ndo amewateka Waislam kwa maneno yake ya kipuuzi na uwongo kama hayo unayotaka kutuaminisha hapa.SOMENI MUACHE KUDANGANYWA KWA UONGO MDOGO HUO.
km mwanao anaangalia sana katuni kuna baadhi ya mambo atapwaya! inavyosemekana kila katuni inachorwa kwakuanza na sura ya sehemu ya siri aidha ya me/ke then lina maliziwa umbo lahuyo katuni inasemakana lengo la wazungu nikuvuruga akili za watt wakiafrika so ukifuatilia sana mtt anaependa sana katuni hata mambo ya ibada kwake umlazimishe fuatilia utaelewa..!
ukweli ni kwamba katuni zinatumika sana kupumbaza watoto, pia mitandao ya kijamii inawalevya sana vijana hata sisi watu wazima! Kama aliyoyasema huyo sheikh ni uongo basi leta utafiti wako kuwa haziathiri kwa vithibitisho. Naamini zinaathari tena kubwa kwa watoto wetu kwani hatuna taratibu za kuweka ratiba juu vitu hivyo tofauti na watoto wa kizungu