Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,780
Yanakuhusu nini,lala
Huyu umwambiae hii mineno ni vile tu kafogeti kwamba ukikuta mswazi anachinjwa , usihangaike kumreskyu!
Cha kufanya ni kumsogezea mchinjaji jiwe la kunolea panga lake!
Yanakuhusu nini,lala
jamani kila mdada nayempa anamkataa hata evelyne salt hamtaki eti ni gunia la misumari naombeni niwakabidhi niweze kuumaliza huu mwaka kwa raha.
Hapa kuna human trafficking?
Wapata hivi,wapata hivi,na mkono we ukabakia,
Kataaa kata kata
Kata evelyn kata
Kiuono chako mwenyewe....
Huo mnazi wakatika,
Wakati wa kukatika
Katu katu kaaaa!!!!
Hapo kwenye mkono ukabakia take note....
Mwenye kupenda vya watu vyake navyo huliwa:shut-mouth:
Si bure kuna zaidi ya tunayoyajua hapa.....bora kujiunga na chama cha kijani kuliko kuwa na Bishanga
bua la jana sisimizi kaona mavuno,endelea tu kuchezea shilingi chooni.bora kujiunga na chama cha kijani kuliko kuwa na Bishanga