Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Makubwa..mume anatolewa bure???huyu atakuwa hafai kabisaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha umenifurahisha shostito....Dah... sasa bepari anajishushia chat yake kama ndo hivyo. Mtu hakubaliki hata kwa kulumangia!
Mara gunia la misumari,mara turubai la jeshi.. Loh... Amechokwajee..
Ruttashobolwa na hiyo mission impossible vipiCUTE usimsikilize The secretary anataka kumuacha kaka yangu bila sababu na hisi ana kidumu ndio kinampa kibuli na hapa kuna mkono wa mtu kama sio ntu!
si bora hata peremende ni tamu
Lakini The secretary ni mke halali wa kaka Bishanga nadhani mwenyekiti hili unalitambua!
yote yanawezekana jamani si unajua mtu hakosi sababu na siku izi ndoa nyingi zinavunjwa iyo kitu ya mission impossible trachomatisWe CUTE una vituko.. kwa hiyo jimwili ndo hoja na si umbea kama anavyodai evelyn salt
hahahahha u made ma day jamani kha! hapana chezeya weye The secretarybora awe embe atunguliwe mtini
Ruttashobolwa na hiyo mission impossible vipi
Ha ha ha ha umenifurahisha shostito....
bora awe embe atunguliwe mtini
Ni halali yake kumgawa lol!!!!We CUTE una vituko.. kwa hiyo jimwili ndo hoja na si umbea kama anavyodai evelyn salt
kweli kakukera sanabado nalipa ndo maana sioni shida kumgawa
Ni halali yake kumgawa lol!!!!
nilijua tu kwamba kuna siku rigwaride litakushinda,sasa wazazi wako utawambia kwa nini umeupwaka? Vumilia tu maiwaif,hogo la jang'ombe ndo msalaba wako.jamani kila mdada nayempa anamkataa hata evelyne salt hamtaki eti ni gunia la misumari naombeni niwakabidhi niweze kuumaliza huu mwaka kwa raha.
size ya kiatu mzee tatizo,size 12.Eh... kwani bepari la Kihaya lina shida gani isiyovumilika?