Msaada: Mpenzi wangu hapendi kunyonyana ndimi (denda)

Msaada: Mpenzi wangu hapendi kunyonyana ndimi (denda)

Daaaah hii ni hatari soo ww furaha yako ni denda tuu..! Hongera sana...kuna mwingne atakuja na thread hake haitaisha mwezi kuwa anapenda kulambwa masikio,kumshika makalio,kum kiss tuu an e.t.c na sio sex.! Trust me ugonjwa utakuja kuwa mkubwa kuliko ulivyo right now..!
 
Kwani wakati unamuaproach mara ya kwanza akakutolea nje ulisov vipi? Au mlikutana na kuanzisha mahusiano. Nenda kwa mshauri wa saikolojia atawasaidia. And then usisahau kutumia dawa za meno toka ulaya
 
Kweli magufuli ana haki ya kusema kuwa hakuna njaa,maana kungekua na njaa watu wasingepata nguvu za kuandika ujinga kama huu.
04b429079004e8d71ead5960e1b7dc5e.jpg
 
[QUOTE="isotaaaa, post: 19301158
Wengine wana matatizo ya meno ya bandia uumuache usije kuyameza au wengine wanakuwa na matatiZo ya kinywa Acha kulazimisha utajuta
 
Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya.
 
Nakushauri endelea kuzidisha dozi ya kupiga mswaki, unaweza pia kutumia limao kwani huondoa harufu ya kinywa until one day yes!!!
 
Kuna wanaume hawajui kupiga hilo denda unakuta mwanaume kakomaa kukuvuta ulimi na kukujaza mimate utafikiri mdomo wako hauna mate hebu jichunguze denda lako ni la aina gani kwanza wapo wanawake tunaopenda kunyonyana midomo tu sio kuvutwa ulimi na kujazwa mate inaboa na kukera sana
 
Nenda nae taratibu ili upate kuujua ukweli, usifikie maamuzi mabaya mapema. Kumbuka kuna watu wengine hawapendi kunyonyana hilo ulijue. Mtu kama hataki usimlazimishe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom