Duuuuh inawezekanalabda na yeye anapenda mate ya kwenye kikombe.. baadae nitamuuliza
masikio tena..Km hataki denda mnyonye ht masikio
au yeye ndio ana shida kinywan mwakelazma una shida hawezi kataa hivi hivi
asante mkuu nitazngatia ushaur wakoNakushauri endelea kuzidisha dozi ya kupiga mswaki, unaweza pia kutumia limao kwani huondoa harufu ya kinywa until one day yes!!!
yan unamaanisha kuna watu naturally hawapendi hii kitu?Nenda nae taratibu ili upate kuujua ukweli, usifikie maamuzi mabaya mapema. Kumbuka kuna watu wengine hawapendi kunyonyana hilo ulijue. Mtu kama hataki usimlazimishe.
nahisi yeye ana tatizo sio mimiLabda unanuka mdomo au yeye ananuka mdomo
wewe wasemalazma unanuka mdomo
aha mate ya pipi yanakuwa na sukari hayanogMpe pipi arambe kidogo hlfu mwambie akupe urambe na wew itakua tayar ushapata denda lake
hahaaaha hayaKweli magufuli ana haki ya kusema kuwa hakuna njaa,maana kungekua na njaa watu wasingepata nguvu za kuandika ujinga kama huu.
inawezekana piaau yeye ndio ana shida kinywan mwake
DuuuuuuNgoja mimi pia nipite kimya maana hata mimi sipendagi kabisa denda labda hayo mate ateme kwenye kikombe niyanywee humo[emoji13] [emoji13] [emoji13]