LabdaJamani naombeni ushauri wenu hivi karibuni nimeanzisha mahusiano ya kimapenzi na msichana flani hivi
Cha kushangaza huyu msichana hapendi kabisa kunyonyana ndimi (denda) nimejaribu kumuuliza kwa nini
lakini hanipi jibu la kueleweka kwa kweli hali hii inanikosesha raha kabisa
hasa tukiwa kwenye mgegedo kwani mimi na enjoy sana romance (denda) kuliko sex yenyewe
mara ya kwanza nilidhani labda atakuwa hataki kudendeka kwa kuhisi labda kinywa changu kinatoa harufu ikanibidi nizidishe dozi ya kupiga mswaki lakin bado tu hataki...
Nisaidien jaman ana tatizo gani huyu mwanamke??
Kama kuna MTU wa kupigea bani na moderators ni wewe unaboa sema ndio hivyo tuumeandika upuuzi na nashangaa moderators nao walivyo wapuuzi kama wewe wameuachia huu uzi.
Mbn kama jina LA kiume lkn kajibu mdada sportsUnanuka domo wewe.
Ungesoma mpk mwisho ungeelewa acha kukisia wakati kajieleza mnoLabda Utakuwa Unakula Ugoro
Kumbe kwenu kama hampendi msela mnampa kyuma mnanyima denda [emoji23] [emoji29]Hakupendi.
nina meno yote 32 mkuuJicheki usije kua una Jino moja lazima demu aogope [emoji83]
Kweli akili ni kama nywele nilikuwa najiuliza hivi kama unapewa maku unalalamika kutopewa mate ni ujinga kabisa huuKama hataki muache unamlazimishia nini sasa?
hapana me ni mjasiriamali wa vibiashara vya hapa na paleAu Mkuu wewe nifundi wa majenereta maana kwa kunyonya kabureta hamjambo
Kweli akili ni kama nywele nilikuwa najiuliza hivi kama unapewa maku unalalamika kutopewa mate ni ujinga kabisa huuKama hataki muache unamlazimishia nini sasa?
dah mkuu hunitakii memaKwani tatizo si mate yake tu? Basi, we mwambie akiwa anatema mate akuhifadhie sehemu we mzee ukifika unakunywa tu.
Problem solved!
Urudi kutupa mrejesho.
Yours truly.
Unanuka domo wewe.
Ukafanyaje mkuu[emoji36] [emoji28] [emoji29]yalinikutaga nami....Sikuuliza mara mbili aisee
nitajaribu kum time kama ulivosuggest mkuuKuna mambo yananipa shida sana kama kulike post kama hii wakati mwenzako kaomba msaada
Kikweli madem wa hivyo wapo Ila ushauri wangu ni kuwa wakati mnapiga gemu msubili wakati ule anapotaka kupizi mda huo ni mfupi sana lkn huwa hapo ndio tunakosa ufahamu was akili za kawaida na tunatumia akili za ajabu sana mda huo ukimtaime atakupa akija kushituka umemkausha mate yake
hapana me nawekaga mdomo kama wafilipino vile.. slow but sureLabda unampanulia domo lako km mamba, na kumtemea mimate yako lazma aone kinyaa.
nitawezaje kuifahamu hiyo hidden harufu?Labda
1. Mdomo wako unatoa harufu ambayo mwenyewe hujui
2. Labda dashboard ya mdomo wako imejaa minyasi ya ndevu.... Wengine hawapendagi midevu.
3. Demu ana akili kubwa kuliko wewe, anajitambua kwamba kwa kunyonyana ndimu munaweza kuambukizana ugonjwa hatari wa ini yaani hepatitis b.
Mkuu kila mtu hua ana hisia zake kwa kile akipendacho
au labda lips zako hazina umbo linalomvutia au labda mdomoni mwako una style ya kua na ute ute mwingi ambao hata ukiongea unaonekana
Make sure unakua na kinywa kisafi kisichokua na ute ute wa mate mazito
au jali lips zako kama zinakauka kauka hovyo Fanya kuzijari zisiwe katika hali ya kukauka safisha huo ulimi vizur
ushauri wangu lips zako zina kauka kauka au ngumu fanya kuzipaka lip shine usiku hasahasa au mafuta mazito ukiwa unalala kesho yake ukiamka futa mafuta hayo afu chukua mswaki wako piga then safisha kinywa ndo uhamie kwenye lips zako unakua kama unazipigisha mswali huku ukiwa unatemea povu la dawa kwenye mswaki ili kuzifanya lips zako kua laini
ushauri tu na ukafurahie hilo tendo sasa ukitaka mengine njoo pm
Ulimwona chibu juzi wakati anaondoka unasemea usafi gani wewehah wapi me ni msafi kama wcb
mkuu nimependa ushauri wako uko deep sana... salute kwakoMkuu kila mtu hua ana hisia zake kwa kile akipendacho
au labda lips zako hazina umbo linalomvutia au labda mdomoni mwako una style ya kua na ute ute mwingi ambao hata ukiongea unaonekana
Make sure unakua na kinywa kisafi kisichokua na ute ute wa mate mazito
au jali lips zako kama zinakauka kauka hovyo Fanya kuzijari zisiwe katika hali ya kukauka safisha huo ulimi vizur
ushauri wangu lips zako zina kauka kauka au ngumu fanya kuzipaka lip shine usiku hasahasa au mafuta mazito ukiwa unalala kesho yake ukiamka futa mafuta hayo afu chukua mswaki wako piga then safisha kinywa ndo uhamie kwenye lips zako unakua kama unazipigisha mswali huku ukiwa unatemea povu la dawa kwenye mswaki ili kuzifanya lips zako kua laini
ushauri tu na ukafurahie hilo tendo sasa ukitaka mengine njoo pm
Hahaha...eti kama wafilipino, mkuu VIP ndio matokeo ya zile filamu zao? Sasa mwenzio amegundua unataka mambo ya kwenye filamu, akiruhusu denda tu amepoteahapana me nawekaga mdomo kama wafilipino vile.. slow but sure