Ww umeingiaje uku kwenye thread..Kweli magufuli ana haki ya kusema kuwa hakuna njaa,maana kungekua na njaa watu wasingepata nguvu za kuandika ujinga kama huu.
Kabisa yaaniKuna mawili ya kuangalia hapo...kumbuka wanawake huwa hawakurupuki...
1. Mophology ya mdomo wako ipo sawa?Je inaruhusu tendo hilo kufanyika bila kumbughudhi mwenzako..
2. Je mdomo wako hautoi harufu kiasi ikawa ni kikwazo kwa mwenzako.
Ukipata majibu hayo njoo..tena uulize utapata majibu.
Ndio manake.yan unamaanisha kuna watu naturally hawapendi hii kitu?
Acha uwongo ushindwe knyonya ulmi uwez kunywa mte kwnye kkombeNgoja mimi pia nipite kimya maana hata mimi sipendagi kabisa denda labda hayo mate ateme kwenye kikombe niyanywee humo[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Tatizo hakuna kondom ya kinywa! Watu wanaogopa maradhi kama ya fangasi za kinywani na kaswende! Kalagabaho!Mwingine anaona kinyaa