We noma!!afie mbele huko wanaume ni vitombi tu utatombwa na wangapi? kama hataki muelewane akuache tu
mimi nishaweka nukta sitombwi tena kama mtu hawezi kuwa na urafiki na mimi wa kawaida asepe tu nitatombwa nikitakla na sio mtu anipangie
Hiyo kitu wanaume wamewekewa si yakukologea mboga,kazi yake ni kutombeahawa wanaume hawapo serias ujue sasa mtu siku hyohyo akutombe jamani hapo utafaidi nini? kama alikuwa anataka papuchi angesema mapema ambiwe za kuzifata !huyu mdada namshangaa roho inamuuma nini wakati Mungu kamuonesha tu mapema huyu sio mtu wa future ni kitombi tu kama wengine
Hahaha kuna watu wana maneno jamaniHii inaitwa mbwa kala mbwa
Afu outing kama hizo unaenda na rafiki ako wa nini???????
hapana sio wa JF ni wa heshima tu!!Ulimpata hapa JF kama atoto alivyompata wa kwake hapa JF mkuu?![]()
Hujambo mtoto mzuri?Hahaha kuna watu wana maneno jamani
Natania shunie, sema huwa lazima nithibitishe kama mtu atakuja na swaga hizo.aiseee sasa kuna raha gan
Sijambo kaka shemejiHujambo mtoto mzuri?
hapana sio wa JF ni wa heshima tu!!
........kumbe akina atoto wamekwapua magumegume!! 🙂Dah nimecheka sanaMkuu hili na janga la dada zetu yani, wakiwa marafiki watatu ukimtongoza mmoja mpaka wajadili wote wakufanyie vetting yani kama unatongoza kikundi cha kikoba
Habari wapendwa.
Hapa Niko kwenye kizingumkuti sielewi nifanyaje. Kuna mwanaume amekuwa akinitafuta kwa muda mrefu baadaye nikamkubalia lakini akawa anaishi Dar na Mimi Niko Mbeya, HV karibu ni kama wiki hivi akaniambia unakuja Mbeya ili tufanye makubaliano vizuri maana tokea namkubalia hatujakutana tupange mikakati ya maisha yetu ya mapenzi. Jana Ijumaa kakwea pipa kutoka Dar kuja Mbeya kwa dhumuni hilo kwamba atakaa ijumaa,jumamosi na kugeuza Dar siku ya Jumapili.
Ukiwa njiani nilimuomba nije kumpokea nikiwa na rafiki yangu wa kike akakubali.
Alipofika muda wa SAA kumi na mbili kasoro tulimpokea vizuri na kumpeleka kwenye hotel ambayo nilimfanyia booking na alipopumzika km dk kumi tukatoka nae kwenda sehemu ya kula ambayo iko mbali kidogo na hapo alipofikia. Tulikaa hapo hadi SAA tatu usiku tukiwa na rafiki yangu na hakuna maongezi yoyote ya Mimi na yeye yaliyoendelea pale.
Baada ya hapo tayari usiku tulimuaga kuondoka ili na yeye akapumzike alipofikia akaanza kukataa akitaka nikakutane nae kimwili, nikakataa kwa kuwa nyumbani si kuwa nimeaga na bado sio makubaliano yetu kufika na kuanzia Kudo kabla hatijaongea chochote kilichomleta.
Alikuwa serious kunitaka nikalale nae ili hali sina wazo wala kujua kuwa kaka kwa hilo so si kujiandaa kuaga nyumbani kuwa sintarudi hivyo nilimsihi asibiri kesho yake ndo tutajua vizuri kama nitalala nae au la.
Alikubali tukaondoka na rafiki yangu, na kwa kuwa ilikuwa usiku nilimsihi rafiki yangu anisindikize nyumbani ili wazazi wasiwe na maswali mengi juu ya kuchelewa kurudi.
Cha kushangaza baada tu ya kuachana jamaa alibadilisha mawazo kuwa anaondoka kesho yake kabla hata hatujapngea chochote kilichomleta Mbeya kisa nimemnyima mchezo.
sasa naomba ushauri; Je huyu ni mwanaume nzuri wa future kweli kama kasusa kisa kukosa mchezo ambao hata haukuwepo kwenye makubaliano yetu?
Je ,ananipenda kwa that?
Nini haswa kilichomkwaza hadi akasusa akaamua kuondoka kabla azma yake haijatimia?
Je nimfuate Dar tukayajenge huko????
ASANTENI IN ADVANCE KWA USHAURI
Heshim yako the boss upo sahihi kabisa mashoga wa nini jamni kila siku tunaambiwa hatusikii mfyuuuFirst suala sex na mahusiano ni kila mtu na mtazamo wake
wapo ambao sex ni sehemu muhimu tu ya kujuana na kuimarisha uhusiano
wapo wengine sex lazima isubiri kwanza wafahamiane vizuri
Ulipaswa kumwambia kabla hata hajasafiri kuja kuwa akija hamta sex
ili ajue na aamue kuja au asije...
La pili ulikosea sana kwenda na rafiki yako ukakaa nae masaa matatu kiasi wewe na mtu wako mkashindwa
kuongea yenu na kuzoeana na kufahamiana na kuelewana
yawezekana jamaa alijikuta tu 'ameboreka' na kila kitu
Mkuu hili na janga la dada zetu yani, wakiwa marafiki watatu ukimtongoza mmoja mpaka wajadili wote wakufanyie vetting yani kama unatongoza kikundi cha kikoba
