Msaada: Mpenzi mpya kazira nifanyaje?

Msaada: Mpenzi mpya kazira nifanyaje?

Mlikuwa hamjaonana hata mara moja? Kama ndivyo alitathimini maengezi yenu na shoga yako, vinywaji vyenu, mlivyo jiheshinu, kwa muda aliokaa nanyi alifikia uamuzi wa kusepa. Akaona apoze machungu kwa kuomba mzigo alipokosa akaishia. Ukimpigia simu hatapokea au atakupa mbivu na mbichi, huna chako hapo.
 
Huyo mwanaume kapanda pipa kwaajili yako kweli au atakuwa alikuja tu kikazi na kuamua kujumuisha na hilo la kukutana na ww, mimi huwo ujinga bado sijafanya hebu ona sasa kaambulia patupu.
 
First suala sex na mahusiano ni kila mtu na mtazamo wake
wapo ambao sex ni sehemu muhimu tu ya kujuana na kuimarisha uhusiano
wapo wengine sex lazima isubiri kwanza wafahamiane vizuri

Ulipaswa kumwambia kabla hata hajasafiri kuja kuwa akija hamta sex
ili ajue na aamue kuja au asije...

La pili ulikosea sana kwenda na rafiki yako ukakaa nae masaa matatu kiasi wewe na mtu wako mkashindwa
kuongea yenu na kuzoeana na kufahamiana na kuelewana

yawezekana jamaa alijikuta tu 'ameboreka' na kila kitu
Miss you
 
Habari wapendwa.
Hapa Niko kwenye kizingumkuti sielewi nifanyaje. Kuna mwanaume amekuwa akinitafuta kwa muda mrefu baadaye nikamkubalia lakini akawa anaishi Dar na Mimi Niko Mbeya, HV karibu ni kama wiki hivi akaniambia unakuja Mbeya ili tufanye makubaliano vizuri maana tokea namkubalia hatujakutana tupange mikakati ya maisha yetu ya mapenzi. Jana Ijumaa kakwea pipa kutoka Dar kuja Mbeya kwa dhumuni hilo kwamba atakaa ijumaa,jumamosi na kugeuza Dar siku ya Jumapili.
Ukiwa njiani nilimuomba nije kumpokea nikiwa na rafiki yangu wa kike akakubali.
Alipofika muda wa SAA kumi na mbili kasoro tulimpokea vizuri na kumpeleka kwenye hotel ambayo nilimfanyia booking na alipopumzika km dk kumi tukatoka nae kwenda sehemu ya kula ambayo iko mbali kidogo na hapo alipofikia. Tulikaa hapo hadi SAA tatu usiku tukiwa na rafiki yangu na hakuna maongezi yoyote ya Mimi na yeye yaliyoendelea pale.
Baada ya hapo tayari usiku tulimuaga kuondoka ili na yeye akapumzike alipofikia akaanza kukataa akitaka nikakutane nae kimwili, nikakataa kwa kuwa nyumbani si kuwa nimeaga na bado sio makubaliano yetu kufika na kuanzia Kudo kabla hatijaongea chochote kilichomleta.
Alikuwa serious kunitaka nikalale nae ili hali sina wazo wala kujua kuwa kaka kwa hilo so si kujiandaa kuaga nyumbani kuwa sintarudi hivyo nilimsihi asibiri kesho yake ndo tutajua vizuri kama nitalala nae au la.
Alikubali tukaondoka na rafiki yangu, na kwa kuwa ilikuwa usiku nilimsihi rafiki yangu anisindikize nyumbani ili wazazi wasiwe na maswali mengi juu ya kuchelewa kurudi.
Cha kushangaza baada tu ya kuachana jamaa alibadilisha mawazo kuwa anaondoka kesho yake kabla hata hatujapngea chochote kilichomleta Mbeya kisa nimemnyima mchezo.
sasa naomba ushauri; Je huyu ni mwanaume nzuri wa future kweli kama kasusa kisa kukosa mchezo ambao hata haukuwepo kwenye makubaliano yetu?
Je ,ananipenda kwa that?
Nini haswa kilichomkwaza hadi akasusa akaamua kuondoka kabla azma yake haijatimia?
Je nimfuate Dar tukayajenge huko????
ASANTENI IN ADVANCE KWA USHAURI
Sasa ulimsomba rafiki yako wa nini kwanza? Alafu unabinua pua eti hatukuongea.

Hivi mtu mzima na akili yako first date unabeba rafiki? Ili iweje kwanza?
 
mwache usihangaike nae na dhumuni lake ilikua n sex afu ndio atembee.
pengine umepona kwa situation hio,usimtafute,endelea na maisha yako.
 
Kiufupi sana mshikaj anakutaka akutoboe basi,hayo mengine ya kuwa unataka akuoe unayo ww....lkn pia maamz makubw yako kwako
 
First suala sex na mahusiano ni kila mtu na mtazamo wake
wapo ambao sex ni sehemu muhimu tu ya kujuana na kuimarisha uhusiano
wapo wengine sex lazima isubiri kwanza wafahamiane vizuri

Ulipaswa kumwambia kabla hata hajasafiri kuja kuwa akija hamta sex
ili ajue na aamue kuja au asije...

La pili ulikosea sana kwenda na rafiki yako ukakaa nae masaa matatu kiasi wewe na mtu wako mkashindwa
kuongea yenu na kuzoeana na kufahamiana na kuelewana

yawezekana jamaa alijikuta tu 'ameboreka' na kila kitu
hii point mkuu ilo vzur, hata ningekua mimi ninge mind haiwezekani aje na rafiki yake kat nisha mwambia ninamaongez nae.....
 
kitendo cha kutoka dar to mbeya kufuata papuchi....uo ni upendo tosha.we ungempa tu kwan kitu gan.....mambo ya kupimapima hayo ndo tunakosaga waume.najua we ulienda na rafik yako ili jamaa aone aibu kukuomba tamu lakin swali....ar u virgin girl...kama ndiyo sawa....kama siyo aliyepita au walopita wanann na huyo anann.twende na wakati jaman penz ni penz tu na ndoa ni ndoa tu.....kama IPO ni IPO tu.
 
Ilisha wahi kutokea hata mimi ,Nimekubaliana na binti ( Police ) Kutoka Kagera hado Arusha , nilipofika tu binti akaja cha kushangaza Akawa bize zaidi na simu nasisi ilikuwa tukaongee zaidi tunatengeneze mahusiono gani ,, ila mimi nilimwambia ninahitaji sana tunda b4 sijaanza safari ,Kukaa kidogo nikawambia tukale,akakataa,,he ! Tulale basi coz jioni alikuwa zamu ,,Hayumo, duu nikaona anaondoka kabisa,,duu nikaenda kwenye kioo nikajiangalia labda Leo nimebadirika sana ,,ilikuwa kipindi cha laki sio pesa million pocket money ,Nikanunua simu nzuri na Gauni zuri pink,,Nikasema isiwe tabu ,,Nikayaacha pale lodge ,nikatafta binti mwingine Aliitwa Eliza Nikalala nae usiku huo maana mimi pombe huwa sinywi ,, kesho asubuhi nikamwachia Elf 50 maana hskutaja kiwango cha usiku mzima,, kesho yake nikamwachia mhudumu kuwa ataijia binti mizigo yake hiyo nitarudi tena,nikapiga simu nikamwambia narudi nyumbani nimepigiwa simu gafla kikazi so kuna mizigo yako hapo lodge kachukue Duu arishangaa sana ,,Hicho kitu mpaka Leo huwa hanisahau kabisa ,Ila its tuu late ,Nimeshapata mwingine , alikuja mpaka huku akamuona mwenyewe hafki ,Alichosema kwa kweli huyu ndo mke wako anae kufa aa nawatakieni maisha mema mi ningekusumbua japo ulinipenda sana,,Why this story Kuna vitu vingine sio amri au kanuni ,,Kama wapi utampata Mme au lini mtaanza Mapenzi, et siku ya kufanya sex ndo inadetermine kuwa huu uhusiono utadumu ,,Kitu kingine Misimamo ya kutesana sio mizuri fikilia hata kama ungelikuwa wewe ,Umemfuata boy friend wako kwake unahamu kabisa ya kuduu ,Umkute na wenzake geto wapo bize tu wakati ulipiga simu na ukamweleza nakuja kwa ajiri ya kufanya hiki ,,Maana kama kuongea hata kwenye simu mngeyaongea tu yakaisha but alitaka body talk zaidi ,Je aone na wwe uone ,ndo mjadli kuhusu hatima ya mahusiono,,
 
Maongezi yenu wapi huko? Aibu ya nini sasa? lol! Mh! Pole mie! Pole kwa lipi atoto? Nilishawahi kumwambia rafiki wa kutoka utotoni aliyetaka kutia timu pamoja na kuwa hakutakiwa awepo kwenye timu husika. Mmekaa wenyewe Jumapili jioni sehemu sehemu baada ya kujirusha sana Jumamosi, njemba inazuka na kuvuta kiti, nikakosa raha. Nikavuta dakika chache nione kama atakuwa mstaarabu ajikate lakini njemba inazidi kuongea tu maongezi ambayo mimi na mwenzangu hatuna mpango wa kushiriki wala hatukuyahitaji. Nikamtolea uvivu na kumwambia tuna maongezi muhimu hivyo naomba atupishe. Nadhani jamaa alinimind sana.
Si mwenyewe umeandika pale 'maongezi yetu' as if wewe ndio muhusika! Ndio maana nikakupa pole.

Ila rahaaaa! Ukitaka kumkera mtu unambebea kakijiji.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
There is a manual my friend...

Hii ya huyu jamaa yake hata kama ingefanikiwa kufikia ndoa ni zile tungeziita exceptions...huyu wametongozana kwa simu...kakubaliwa na wakakubaliana aje Mbeya waongee. Kafika Mbeya na kutaka mchezo the same day.

Hii hata kwa hesabu za kujumlisha tu huwezi nidanganya huyu mwanaume alikuwa akimpenda huyu binti aisee... [HASHTAG]#bado[/HASHTAG]
Manual yako ni hakuna kuduu hadi ndoa, hope unaifuata.
 
kitendo cha kutoka dar to mbeya kufuata papuchi....uo ni upendo tosha.we ungempa tu kwan kitu gan.....mambo ya kupimapima hayo ndo tunakosaga waume.najua we ulienda na rafik yako ili jamaa aone aibu kukuomba tamu lakin swali....ar u virgin girl...kama ndiyo sawa....kama siyo aliyepita au walopita wanann na huyo anann.twende na wakati jaman penz ni penz tu na ndoa ni ndoa tu.....kama IPO ni IPO tu.
Aiseee! Kwahiyo kama sio bikra tena basi inatakiwa ukiachie tu kisa mwanzo ulikiachia tu!!!!!
 
Uliharibu mwenyewe we utaendaje na rafiki kumpokea mpenzi wako ambaye ndo kwanza mna meet tangu muanzishe uhusiano wenu then mtu kakufata unamwacha analala peke yake!kweli?kwanza ilitakiwa utengeneze mazingira ya kulala nae siku hiyo afu hiyo ya sijui siwezi mpa coz ni first meetin ni ujinga tu unaweza ukampa mtu siku hiyohiyo na mkadumu na mwingine ukambania then siku unampa akakusagia labda kama ni bikra wataka mpaka ndoa ndo umpe kinyume na hapo umebugi,siku nyingine usirudie kufanya hivyo.
 
Habari wapendwa.
Hapa Niko kwenye kizingumkuti sielewi nifanyaje. Kuna mwanaume amekuwa akinitafuta kwa muda mrefu baadaye nikamkubalia lakini akawa anaishi Dar na Mimi Niko Mbeya, HV karibu ni kama wiki hivi akaniambia unakuja Mbeya ili tufanye makubaliano vizuri maana tokea namkubalia hatujakutana tupange mikakati ya maisha yetu ya mapenzi. Jana Ijumaa kakwea pipa kutoka Dar kuja Mbeya kwa dhumuni hilo kwamba atakaa ijumaa,jumamosi na kugeuza Dar siku ya Jumapili.
Ukiwa njiani nilimuomba nije kumpokea nikiwa na rafiki yangu wa kike akakubali.
Alipofika muda wa SAA kumi na mbili kasoro tulimpokea vizuri na kumpeleka kwenye hotel ambayo nilimfanyia booking na alipopumzika km dk kumi tukatoka nae kwenda sehemu ya kula ambayo iko mbali kidogo na hapo alipofikia. Tulikaa hapo hadi SAA tatu usiku tukiwa na rafiki yangu na hakuna maongezi yoyote ya Mimi na yeye yaliyoendelea pale.
Baada ya hapo tayari usiku tulimuaga kuondoka ili na yeye akapumzike alipofikia akaanza kukataa akitaka nikakutane nae kimwili, nikakataa kwa kuwa nyumbani si kuwa nimeaga na bado sio makubaliano yetu kufika na kuanzia Kudo kabla hatijaongea chochote kilichomleta.
Alikuwa serious kunitaka nikalale nae ili hali sina wazo wala kujua kuwa kaka kwa hilo so si kujiandaa kuaga nyumbani kuwa sintarudi hivyo nilimsihi asibiri kesho yake ndo tutajua vizuri kama nitalala nae au la.
Alikubali tukaondoka na rafiki yangu, na kwa kuwa ilikuwa usiku nilimsihi rafiki yangu anisindikize nyumbani ili wazazi wasiwe na maswali mengi juu ya kuchelewa kurudi.
Cha kushangaza baada tu ya kuachana jamaa alibadilisha mawazo kuwa anaondoka kesho yake kabla hata hatujapngea chochote kilichomleta Mbeya kisa nimemnyima mchezo.
sasa naomba ushauri; Je huyu ni mwanaume nzuri wa future kweli kama kasusa kisa kukosa mchezo ambao hata haukuwepo kwenye makubaliano yetu?
Je ,ananipenda kwa that?
Nini haswa kilichomkwaza hadi akasusa akaamua kuondoka kabla azma yake haijatimia?
Je nimfuate Dar tukayajenge huko????
ASANTENI IN ADVANCE KWA USHAURI
mlipanga kwenda kuongea rafiki yako ilibidi akae kidogo halaf asepe... wanawake wengi mnakoseaga hapo... umeitwa wewe unaenda na kamati yako ya nn?
 
Sure jamaa angestahili kukwazika nampa pole kwa kutumia izo cost zote unsuccefully.........aliboreka hasa rafiki yako alivoganda itafikir na yeye alikuwa na hisa we mpaka saa tatu hajiongez ndo kitu gan???? Alaf we kwel ulijua jamaa ana bombadier kutoka Dar mpaka Mbeya kuja kupiga stor???? Be serious wakat ni mda tu mlikuwa mkichart ulimkosea sana.......mfate mwombo msamaha
 
Thanks atoto ni typo hiyo. Neno sahihi ni yenu badala ya yetu. Ukija na kijiji njemba inakukodolea mimacho kama haikujui vile, aibu yote kwa atoto na wanakijiji aliowabeba.

Si mwenyewe umeandika pale 'maongezi yetu' as if wewe ndio muhusika! Ndio maana nikakupa pole.

Ila rahaaaa! Ukitaka kumkera mtu unambebea kakijiji.
 
Sure mkuu, kama angeenda peke yake wangeweza kuongea tu wakawa elewana hata jamaa pengine asingekuwa na king'ang'anizi cha sex.

Mara nyingi wanaume wenye akili huwa wanamsoma mtu kutokana na jinsi anavyoongea lkn pia ht anavyobehave on the first Day.
Mm uwa naruhusu mtu kuja na rafiki ake kwangu mara moja next tym macho makavu nakuchana kama huwez kuja basi jiachie tu kwenu, usifke kabisa
 
Back
Top Bottom