Msaada: Mpenzi mpya kazira nifanyaje?

Msaada: Mpenzi mpya kazira nifanyaje?

Uyo jamaa nae Ni fala Tu, Dem Ata kutype hajui halafu ye anampandia adi pipa kabisa,Mara sijaaga,Mara rafiki,Mara tupange maisha,Mara naombeni ushauri,yan mtu atoke Dar paka mbeya kuja kufanya makubaliano..namashaka na umri wko
 
Hafai Huyo.hachana nae.atakumega na ndoa hamnaa.hana uvumilivu,akili yake inawaza ngono tu.atakusumbua mbele ya safari.
 
Yaani wanawake ndio maana mimi nashindwa kuwaelewa mnachowaza. Ulimuita aje muongee then umembeba rafikiyo hadi saa tatu usiku....alafu nawewe bado mdogo sana. Jamaa alikuwa na ratiba kamili hadi kakwea pipa kukufata yaani ujue alikuweka moyoni kwa kiwango kikubwa sana....kwa tukio ulilomfanyia atakuwa kakuweka kwenye bottom sasa imebaki nguvu yako ya kujipandisha hadi ufike kwenye Top. Funga safari mfate hukohuko.......imewahi nikuta mm mtu alijutia kwa ujinga wake hadi kesho sipendi ujinga. Bora ungemuweka wazi kwamba aje utampeleka hotelini huko atalala pekeyake then next day utaenda mkajidili mambo yenu baada ya hapo mtaagana.....Kuweni wawazi nyie viumbe mtaua wenzenu aisee!
Sasa hapo cha kumuua mtu nini? Acheni kujiendekeza na nyie.
 
Kafunga safari kuja kukuona wewe, wewe tu! Lakini kwa akili yako nzuri ukaamua kumbeba na rafiki yako ambaye si ajabu hamjui na wala hakutaka kuweko katika maongezi yetu hata kwa sekunde moja achilia mbali masaa matatu. Haya muombe samahani kama unaona kuna umuhimu wa kufanya hivyo labda anaweza kukusamehe akaamua kukufungia safari nyingine. Na hili liwe fundisho kubwa kwako. Ukiwa na kidate ni MARUFUKU narudia tena ni MARUFUKU kubeba mtu wa tatu awe rafiki yako, shangazi yako, mama yako au yeyote yule. Pole kwa donge lako la mgeni kuamua kususa na kuondoka mapema.
'Maongezi yetu'

Teh teh teeeeh!! Pole sana kumbe ni wewe
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Sasa hapo cha kumuua mtu nini? Acheni kujiendekeza na nyie.
Mungu hajaumba binadamu wa kufanana. Huyo jamaa atakuwa aliondoka akiwa so frustrated na hasira tele kama alikuwa hana mwanamke mwingine
 
Maongezi yenu wapi huko? Aibu ya nini sasa? lol! Mh! Pole mie! Pole kwa lipi atoto? Nilishawahi kumwambia rafiki wa kutoka utotoni aliyetaka kutia timu pamoja na kuwa hakutakiwa awepo kwenye timu husika. Mmekaa wenyewe Jumapili jioni sehemu sehemu baada ya kujirusha sana Jumamosi, njemba inazuka na kuvuta kiti, nikakosa raha. Nikavuta dakika chache nione kama atakuwa mstaarabu ajikate lakini njemba inazidi kuongea tu maongezi ambayo mimi na mwenzangu hatuna mpango wa kushiriki wala hatukuyahitaji. Nikamtolea uvivu na kumwambia tuna maongezi muhimu hivyo naomba atupishe. Nadhani jamaa alinimind sana.

'Maongezi yetu'

Teh teh teeeeh!! Pole sana kumbe ni wewe
 
Sasa na wewe ulibebaje rafiki na kwenda nae?? Aisee watu wengine huwa hamuwez kuwa wasiri hapo ulishamuadithia shoga yako sasa ukataka akamuone na mtu mwenyewe.
 
Habari wapendwa.
Hapa Niko kwenye kizingumkuti sielewi nifanyaje. Kuna mwanaume amekuwa akinitafuta kwa muda mrefu baadaye nikamkubalia lakini akawa anaishi Dar na Mimi Niko Mbeya, HV karibu ni kama wiki hivi akaniambia unakuja Mbeya ili tufanye makubaliano vizuri maana tokea namkubalia hatujakutana tupange mikakati ya maisha yetu ya mapenzi. Jana Ijumaa kakwea pipa kutoka Dar kuja Mbeya kwa dhumuni hilo kwamba atakaa ijumaa,jumamosi na kugeuza Dar siku ya Jumapili.
Ukiwa njiani nilimuomba nije kumpokea nikiwa na rafiki yangu wa kike akakubali.
Alipofika muda wa SAA kumi na mbili kasoro tulimpokea vizuri na kumpeleka kwenye hotel ambayo nilimfanyia booking na alipopumzika km dk kumi tukatoka nae kwenda sehemu ya kula ambayo iko mbali kidogo na hapo alipofikia. Tulikaa hapo hadi SAA tatu usiku tukiwa na rafiki yangu na hakuna maongezi yoyote ya Mimi na yeye yaliyoendelea pale.
Baada ya hapo tayari usiku tulimuaga kuondoka ili na yeye akapumzike alipofikia akaanza kukataa akitaka nikakutane nae kimwili, nikakataa kwa kuwa nyumbani si kuwa nimeaga na bado sio makubaliano yetu kufika na kuanzia Kudo kabla hatijaongea chochote kilichomleta.
Alikuwa serious kunitaka nikalale nae ili hali sina wazo wala kujua kuwa kaka kwa hilo so si kujiandaa kuaga nyumbani kuwa sintarudi hivyo nilimsihi asibiri kesho yake ndo tutajua vizuri kama nitalala nae au la.
Alikubali tukaondoka na rafiki yangu, na kwa kuwa ilikuwa usiku nilimsihi rafiki yangu anisindikize nyumbani ili wazazi wasiwe na maswali mengi juu ya kuchelewa kurudi.
Cha kushangaza baada tu ya kuachana jamaa alibadilisha mawazo kuwa anaondoka kesho yake kabla hata hatujapngea chochote kilichomleta Mbeya kisa nimemnyima mchezo.
sasa naomba ushauri; Je huyu ni mwanaume nzuri wa future kweli kama kasusa kisa kukosa mchezo ambao hata haukuwepo kwenye makubaliano yetu?
Je ,ananipenda kwa that?
Nini haswa kilichomkwaza hadi akasusa akaamua kuondoka kabla azma yake haijatimia?
Je nimfuate Dar tukayajenge huko????
ASANTENI IN ADVANCE KWA USHAURI
You can have sex on the first date and he ends up loving you until the day after forever. You can also wait for 5 years before having sex with him and you get dumped right after that sex. Just pray for a heart that will love you bse there is no manual for keeping a Man U can only keep a man who wants to be kept.
 
If he truly loved u asingekasirika alipaswa athamini na kukuona una maadili mema! Binafsi naona si mume huyo! Tulia usimtafute kama Mungu amepangia daima mtakuwa wote he will still come back.
 
Ofcoz yawezekana hajaridhika na ww haiwezekan mtu akwee pipa kisa mchezo pesa anatoa wap ka izo,

Au ndo dharuraaa
 
First suala sex na mahusiano ni kila mtu na mtazamo wake
wapo ambao sex ni sehemu muhimu tu ya kujuana na kuimarisha uhusiano
wapo wengine sex lazima isubiri kwanza wafahamiane vizuri

Ulipaswa kumwambia kabla hata hajasafiri kuja kuwa akija hamta sex
ili ajue na aamue kuja au asije...

La pili ulikosea sana kwenda na rafiki yako ukakaa nae masaa matatu kiasi wewe na mtu wako mkashindwa
kuongea yenu na kuzoeana na kufahamiana na kuelewana

yawezekana jamaa alijikuta tu 'ameboreka' na kila kitu


Yani umeongea kama vile wewe ndo huyo 'jamaa'


Anyway, SEX is something serious hata kama tunaichukulia poa! Sex sio kufahamiana, ni kujuana!!! Sasa kujuana na mtu ambaye hata hamjafahamiana...sijuiiiii!!!

Nimependa ambavyo huyu dada -ingawa naively, yani bila kujijua- alienda na rafiki yake. Maana ama hakika angekuwa peke yake angegegedwa na bado mshkaji angesepa kesho yake.


Amin amin nakuambia mtoa mada, usijaribu kumtafuta huyo jamaa...he only came for your body and not you!!!

Niamini mimi.
 
You can have sex on the first date and he ends up loving you until the day after forever. You can also wait for 5 years before having sex with him and you get dumped right after that sex. Just pray for a heart that will love you bse there is no manual for keeping a Man U can only keep a man who wants to be kept.

There is a manual my friend...

Hii ya huyu jamaa yake hata kama ingefanikiwa kufikia ndoa ni zile tungeziita exceptions...huyu wametongozana kwa simu...kakubaliwa na wakakubaliana aje Mbeya waongee. Kafika Mbeya na kutaka mchezo the same day.

Hii hata kwa hesabu za kujumlisha tu huwezi nidanganya huyu mwanaume alikuwa akimpenda huyu binti aisee... [HASHTAG]#bado[/HASHTAG]
 
pipa kwenda kurudi + hotel + dinner nani kalipia??
 
Back
Top Bottom