Msaada: Mpenzi mpya kazira nifanyaje?

Msaada: Mpenzi mpya kazira nifanyaje?

Mimi binafsi naona huyo jamaa ndio pimbi! Itakuwa alisafirishwa kwa nyege(genye). Kama alifika jioni na anafahamu ww unaishi na wazazi angekuvumilia mpk kesho yake maana hapo alingekuwa na kutwa nzima ya kukaa na wewe! Sio mvumilivu huyo.. Acha nae! Vijana wenzangu,, mnasema wake za kuoa hakuna nadhani si kweli ni nyinyi ndio hamna uvumilivu! Binti anaonyesha anajielewa sana huyu. Aliongozana na rafiki yake kama mlinzi maana hajui kitakacho mpata huko isitoshe ni mara yao ya kwanza kukutana. Dada mimi naona umefanya vyema kabisa!
 
Dont regret,likuepukalo lina heri nawe,alitaka kufidia nauli yake ya ndege kwa kukuvuruga usiku chuka,kuondoka ni kipimo tosha,akirudi ni wako,asiporudi he was never meant to be!katika kudo lazima kuwe na makubaliano sio tunavyotaka sisi,alikuwa anajua hubleed?hakuwa na nia nzuri,let him **** off and go screw his sisters!u r a decent lady and u deserve someone caring and adorable!njoo kwangu me sitakusumbua hata ukisema tusido milele!hahahah just kidding mkuu lakini muache akafie mbele!
Nikuunga mkono. Aachane nae. Huyo sio future husband, mtu anasusa kisa hukulala nae. Alafu mbaya zaidi ndo siku ya kwanza mmekutana toka muanze mahusiano.

Mi nipe ahadi ya sex until marriage, nitakubali kama nakupenda. Ila kama sikupendi, nitamind tu. So huyo mpitaji.

-callmeGhost
 
Nyie hamkuongea vizur pindi alipo fika hii yote ni kwasababu ya huyo rafiki yako ulienda nae
Na sidhan kama alikubusu au kukuhug kama ishara ya upendo kati yenu pindi alipowasili au hata kupata faragha nae..
Lakini pia bado unayo nafasi endelea kuongea nae ujue nini tatzo then mueleweshe kadri unavyoweza na ikibidi muombe msamaha
Huyo anakupenda hakika mimi siwezi panda ndege hata kuruka kwenda kwa mpenzi ambae sijawahi onana nae hata siku moja....
 
Nikuunga mkono. Aachane nae. Huyo sio future husband, mtu anasusa kisa hukulala nae. Alafu mbaya zaidi ndo siku ya kwanza mmekutana toka muanze mahusiano.

Mi nipe ahadi ya sex until marriage, nitakubali kama nakupenda. Ila kama sikupendi, nitamind tu. So huyo mpitaji.

-callmeGhost
Mkuu ghost ila unajua go and return dar mbeya inagharimu kias gani cha pesa ya madafu?
 
afie mbele huko wanaume ni vitombi tu utatombwa na wangapi? kama hataki muelewane akuache tu
mimi nishaweka nukta sitombwi tena kama mtu hawezi kuwa na urafiki na mimi wa kawaida asepe tu nitatombwa nikitakla na sio mtu anipangie
 
Mkuu ghost ila unajua go and return dar mbeya inagharimu kias gani cha pesa ya madafu?
Sasa mpaka umeweza kutoa hiyo hela na haujui kama issue itatick utakuwa mjinga.

Mi nipo tayari kutoka bongo mpaka France kukutana na mtu, hata kama napewa hug tu. Inatosha. Kwasababu nilikuwa sina expections kubwa. Hizo ndo zile hela haujui unaziweka wapi unasema ngoja niende tu, liwe lisiwe nimepanda ndege. Kama hela ya mawazo usingeenda in the first place.

-callmeGhost
 
Back
Top Bottom