Mkuu Masikhara haya ujue. Hahaaa.Nasikia pilipili kichaa nayo ikisagwasagwa na kuwekwa inafanya kuta za uke ziwe imara.
Wekeni na pilipili kbs
Yalaaa!!Nasikia pilipili kichaa nayo ikisagwasagwa na kuwekwa inafanya kuta za uke ziwe imara.
Ila wakati mwingine ninyi wanawake sijui mnakuwaje? Yaan mtu upo radhi uhatarishe hata afya yako kwasababu tu ya kumridhisha mumeoMpaka wadhurike ila nje ya hapo tena kama hivyo anavyosifia mleta uzi kwamba imekuwa naniliu unadhani huyo mwanamke ataacha. Si rahisi aisee mpaka apate madhara.
Swahiba uko kwa bibi pakìwasha sindo poa ili pakunywe vizuriDuuh! Kwa jinsi kinavyowasha kwenye macho ukikikata vibaya halafu ndio kiwekwe huko kwa bibi lol.
Si ndio mwanzo wa kuanza kuhangaika maana moja itakuwa haikai wala mbili sababu muwasho wa kitunguu. Duuh.
Japo umemsifia kwamba sijui kawaje kawaje ila ndio umkanye umwambie ajali na afya ya mwili wake pia.
Waweza kunywa chai isiyokuwa na sukari.....[emoji85]Unaenda wapi,??
Rudi hapa utie neno
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Hizo punje mkimeza zinasaidia niniMie najua kwa kumeza punje sijui mbili kwa siku mara tatu ila sio kwa kuweka huko kwa bibi. Ila tusubiri wanaojua zaidi.
DuuuKitunguu swaumu ndo huwa kinawekwa ni dawa
Kitunguu maji sijui labda anataka kuunga kibamia chako
[emoji15] [emoji15]Waweza kunywa chai isiyokuwa na sukari.....[emoji85]
Nadhani inasababishwa na kukosa elimu kuhusu afya ya mwili kwa ujumla Mbalizi.Ila wakati mwingine ninyi wanawake sijui mnakuwaje? Yaan mtu upo radhi uhatarishe hata afya yako kwasababu tu ya kumridhisha mumeo
Binafsi nasema kama nitaona mabadiliko kwa maana ya vile nilivyokuzoea imekuwa tofauti- hapo lazima nihojiKabisaaaa. Yanaweza yasionekane kwa muda mfupi ila huko mbeleni yakawepo Mbalizi.
Ila na nyie Me muachage kutusema vibaya kwamba tuna mifuko ya naniliu [emoji12][emoji12][emoji12]. Mridhikage tu na maumbile yetu au kama vp muwe mnasepa kimya kimya. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NdioooooooHahahaaaa. Lol.
Rudi nikuwekee vanila😉😉[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Bacteria wanaosababisha muwasho na harufu mbaya huko chiniDawa ya nini?
Nakumbuka tu kukutana na yule alikuwa akipaka asali mbichi mara kwa mara tunapokuwa na mtanangeMkuu Masikhara haya ujue. Hahaaa.
HatariiiiiYalaaa!!
Hahaaaa. Sasa swahiba hii si inakuwa dawa, kwamba inawekwa muda ambao Me hayupo ili akija akute kumenaniliu.Swahiba uko kwa bibi pakìwasha sindo poa ili pakunywe vizuri