1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 10,137
- 14,233
bila shaka amekutengenezea iwe tamu mbunye,, mzee baba we bimbilika tu, hamna namna,, vingine usioji,,
Utaua boymwongezee na nyanya
Kwa kuwa kuna chumvi huko chini akiongeza na nyanya itakuwa kachumbali imekamilika.wanawake wengine balaa yaani vitunguu kabisa sijui anajaribu kutengeneza nini baadaye. hilo sio jambo la kunyamazia muulize
Kibamia kitakuwa kitamu kwelimwongezee na nyanya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mwongezee na nyanya
Mimi nilikutana na ndimu wakati nazama chumvini. K ilikua ya ugwadu[emoji23][emoji23][emoji23]Wakuu habari za leo, binafsi naomba radhi kama uzi utakuwa na maneno makali..
Hivi karibuni nimegundua kitu ambacho si kawaida kwa mke wangu. Baada ya tukio la huko nyuma nami kuwaomba ushauri namna ambavyo nikimtekenya mke wangu achekelee, nimekuja kuona mabadiliko ya aina fulani.
Nime-note kuwa "mbunye" sasa inabana na kiuno feni imezidi. Ila sasa.. Nasikia harufu ka ya kitunguu maji!..
Baada ya utafiti wangu nikagundua huwa anajipaka. Je ni hali ya kawaida kwa wanawake kutumia vitunguu maji? Je kuna madhara yoyote? Je, ni limbwata?
Nisaidieni wakuu!
Wewe ulishawahi weka hicho kitunguu swaumu acha kudanganya wenzio miss msambwanda [emoji4][emoji4]Kitunguu swaumu ndo huwa kinawekwa ni dawa
Kitunguu maji sijui labda anataka kuunga kibamia chako
Mkuu yeye hujamuuliza?Baada ya utafiti wangu nikagundua huwa anajipaka. Je ni hali ya kawaida kwa wanawake kutumia vitunguu maji? Je kuna madhara yoyote? Je, ni limbwata?
hilo eneo linalindwa automaticallyanaua bacteria
Doncute ulimi nao vipi?Mwambie aache haraka...huko ikulu hakutakiwi kuwekwe kitu chochote isipokuwa Dushe pekee...
Atapata kansa ya shingo ya kizazi...
Vijana wa siku hizi wanapitia jandoni Agha Khan hosp mkuu!Kwanini usimuulize yeye mwenyewe kwanza??
Hivi wewe mkuu umepitia jandoni kweli? Hivi vitu vya sirini vya mkeo unakuja kutuletea humu JF?