Msaada: Mke wangu anapaka kitunguu maji sirini!

Msaada: Mke wangu anapaka kitunguu maji sirini!

Nyinyi ndio chanzo
Na kweli sababu kila siku wanasema oooh sijui mifukooo. Hivyo wanawake nao wanaona isiwe shida wacha waunge kwa bibi.

Na upande wa pili na sie wanawake tuna tatizo kwa kusahau kwamba ni ngumu sana kumridhisha mwanadamu hivyo yatupasa kukubaliana na hali sababu waeza hangaika hivyo ila mwisho wa siku akaenda pengine.

Mie naona tujikubali tu na ndio suluhisho.
 
Mwanamke mapishi bhana,umezama chumvini wee akajua unakula lojo take sasa kaamua kutia viungo,kwanza umeisifia kuwa imekuwa mnato ongea nae na shukulu pia
 
Na kweli sababu kila siku wanasema oooh sijui mifukooo. Hivyo wanawake nao wanaona isiwe shida wacha waunge kwa bibi.

Na upande wa pili na sie wanawake tuna tatizo kwa kusahau kwamba ni ngumu sana kumridhisha mwanadamu hivyo yatupasa kukubaliana na hali sababu waeza hangaika hivyo ila mwisho wa siku akaenda pengine.

Mie naona tujikubali tu na ndio suluhisho.
Hapo kwenye kujikubali Dada NAKAZIA

Hawa viumbe hata uweke viungo vya aina gani akiamua lake kaamua

Tujithamini jamani...matatizo mengine twatafuta wenyewe
 
Ni hatari sana na inaweza kudhuru afya yake aiseeeee
Kabisaaaa. Yanaweza yasionekane kwa muda mfupi ila huko mbeleni yakawepo Mbalizi.

Ila na nyie Me muachage kutusema vibaya kwamba tuna mifuko ya naniliu 😜😜😜. Mridhikage tu na maumbile yetu au kama vp muwe mnasepa kimya kimya. 😂😂😂😂😂
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom