Msaada: Mke wangu anapaka kitunguu maji sirini!

Msaada: Mke wangu anapaka kitunguu maji sirini!

Itakuwa kaambiwa ni dawa ya Kyuma Mnato si unaona sikuhz inabana na style unabadilishiwa mwambie aongezee Nyanya, carrot na Pilipili hoho bila kusahau Matango na Pilipili Kali.
 
Duuh! Kwa jinsi kinavyowasha kwenye macho ukikikata vibaya halafu ndio kiwekwe huko kwa bibi lol.

Si ndio mwanzo wa kuanza kuhangaika maana moja itakuwa haikai wala mbili sababu muwasho wa kitunguu. Duuh.

Japo umemsifia kwamba sijui kawaje kawaje ila ndio umkanye umwambie ajali na afya ya mwili wake pia.
 
Kiaje?

Yaan yna4: utoke uende sokoni ukanunue vitunguu maji sijui uvikatekate / uvipondeponde kisha uvue nguo zako ujikandike (hukooooo) kisha mimi niwe sababu!?
Hivi wajua huyo mke wa huyo jamaa asingeenda uko sokoni akanunua icho kitunguu kukisaga na kukiweka pussini endapo tu mumewe angeikubali hiyo hali yake aliyonayo kabla,!!
 
Back
Top Bottom