maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,289
- 5,542
Ntakushauri tofauti na ww ukamshauri rafki ako
awe makini na mke wake
awe makini na mke wake
Mbona jukwaa tofauti mkuu,unatuchanganya peleka jukwaa lake .Kuna best angu kaniomba ushauri nimeshindwa kumsaidia. Ipo hivi leo mida ya mchana alimchukua wife wake kutoka home akamshusha kituo cha mwendo kasi. akampatia tsh 90,000 kwamba aende kariakoo yy na watoto wake wawili akawafanyie shopping ya sikukuu. Masaa kadhaa yakapita. Jamaa akasema ngoja ampigie kuona kama alifanikiwa. Simu ikawa haipatikani. Akajaribu baada ya few hours bado tena haipatikani akahisi kuna kitu hakipo sawa. Baada alivyorudi home akamkuta wife wake yupo home. Kumuuliza akamjibu very simple kuwa kaibiwa vitu vyote kariakoo simu pamoja na hela. Jamaa alivyoanza kuhoji zaidi akaishia kuambiwa kama kupotea vimeshapotea kwa saut isiyoonyesha kuhudhunika wala nn. Ikumbukwe hela pamoja na hiyo simu vyote alipewa na huyu jamaa yangu. Sasa jamaa yangu kamaindi kwamba haonyeshi kujutia vile hajanunua yy na hela zile ni za kupewa tu. Jamaa kakasirika sana na kaniomba ushauri. Wakuu hii imekaaje? Ni hatua gani anaweza kuchukua?
Kitendo cha kueleza tofauti za ndani ya familia kwa marafiki ndio chanzo cha kuanza fursa ya mahusiano baina ya mkeo na rafiki yako maana matatizo yenu ya kifamilia huchukuliwa kama fursa hasa kwa marafiki wengi kukut*mbea mkeo.Kuna best angu kaniomba ushauri nimeshindwa kumsaidia. Ipo hivi leo mida ya mchana alimchukua wife wake kutoka home akamshusha kituo cha mwendo kasi. akampatia tsh 90,000 kwamba aende kariakoo yy na watoto wake wawili akawafanyie shopping ya sikukuu. Masaa kadhaa yakapita. Jamaa akasema ngoja ampigie kuona kama alifanikiwa. Simu ikawa haipatikani. Akajaribu baada ya few hours bado tena haipatikani akahisi kuna kitu hakipo sawa. Baada alivyorudi home akamkuta wife wake yupo home. Kumuuliza akamjibu very simple kuwa kaibiwa vitu vyote kariakoo simu pamoja na hela. Jamaa alivyoanza kuhoji zaidi akaishia kuambiwa kama kupotea vimeshapotea kwa saut isiyoonyesha kuhudhunika wala nn. Ikumbukwe hela pamoja na hiyo simu vyote alipewa na huyu jamaa yangu. Sasa jamaa yangu kamaindi kwamba haonyeshi kujutia vile hajanunua yy na hela zile ni za kupewa tu. Jamaa kakasirika sana na kaniomba ushauri. Wakuu hii imekaaje? Ni hatua gani anaweza kuchukua?
Unaijua migogoro wewe?
Hata mimi nimeshangaa sana ... hawa madogo bwana!Sasa huu ndo mgogoro???🤣🤣....
aiseeNdivyo mlivyo mavi-jana ya siku hizi!
Yaani umetoa 90,000 kwa ajili ya watoto wawili, mke bajeti yake iko wapi?
Toa zingine ili ajumlishie akanunue na nguo yake pia.
Kuna best angu kaniomba ushauri nimeshindwa kumsaidia. Ipo hivi leo mida ya mchana alimchukua wife wake kutoka home akamshusha kituo cha mwendo kasi. akampatia tsh 90,000 kwamba aende kariakoo yy na watoto wake wawili akawafanyie shopping ya sikukuu.
Masaa kadhaa yakapita. Jamaa akasema ngoja ampigie kuona kama alifanikiwa. Simu ikawa haipatikani. Akajaribu baada ya few hours bado tena haipatikani akahisi kuna kitu hakipo sawa. Baada alivyorudi home akamkuta wife wake yupo home. Kumuuliza akamjibu very simple kuwa kaibiwa vitu vyote kariakoo simu pamoja na hela.
Jamaa alivyoanza kuhoji zaidi akaishia kuambiwa kama kupotea vimeshapotea kwa saut isiyoonyesha kuhudhunika wala nn. Ikumbukwe hela pamoja na hiyo simu vyote alipewa na huyu jamaa yangu.
Sasa jamaa yangu kamaindi kwamba haonyeshi kujutia vile hajanunua yy na hela zile ni za kupewa tu. Jamaa kakasirika sana na kaniomba ushauri. Wakuu hii imekaaje? Ni hatua gani anaweza kuchukua?
Chupi90k shopping kkoo? Lol af msimu wa sikukuu? Mmmmh sjui hata ange nunua nn duuuh.
Ishi unavyoweza usiige mtu, 90,000 mbona nyingi kuna wengine shopping ya watoto wote 30,000. Ndiyo maana kuna wanaoishi apartment kwa mwezi 2,000,000 wengine 800000, wengine 200,000 wngine 80,000, wengine 30,000. Sasa just imagine huyo wa milion 2 uwa akisikia kuna watu wanaishi kwenye vyumba 30,000 uwa anawaza nini?Jamaa yako ni aina ya jon alcohol
Aina ya wanaume ambao mpaka mwanamke atoe chozi la damu ndo ajue kaumia
Alafu elfu 90,000 ?? Kariakoo, msimu huu wa sikukuuu ??
Mie naona dem katumia akili tu, ili jamaa ampe hela ingine ,arudi sasa akaongezee ya awali anunue.
Angenunua hicho hicho, uzuri wa maisha kila mtu anapata anacho afford. Ndiyo maana kuna suruali zinauzwa 200,000, kuna nyingine 100,000, kuna 70,000, kuna 45,000 kuna 25,000, kuna 17,000 zote zinaitwa cardet eti.90k shopping kkoo? Lol af msimu wa sikukuu? Mmmmh sjui hata ange nunua nn duuuh.
Wanaume wa kileo ni 🐒🐒🐒"Best yangu" imekaa ki-feminine sana!
Km ww unazo ni zako pesa ni pesa Kwan hyo hainunui nguo acha kujifny mtu wa ulaya kwa Ardh ya tzHivi 90,000 shopping ya mke na watoto wawili ananunua nini? Maana suti tu zile za bei chee ni 75,000, gauni la bei chee la mtoto ni 55,000 na nguo ya mke nadhani nguo ya maana si chini ya 80,000
Wanaume tujitahidi tusiwatie hasira hawa wake zetu, kama hali hairuhusu basi mzungumze muelewane kwanza lakini kwa hali halisi 90,000 kwa msimu huu wa sikukuu haiwezi nunua kitu
Sasa huu ndo mgogoro???🤣🤣....