Umeniwahi"Best yangu" imekaa ki-feminine sana!
Mume uwezo umeishia apo sasa afanyeje??90k shopping kkoo? Lol af msimu wa sikukuu? Mmmmh sjui hata ange nunua nn duuuh.
Kwan hiyo 90k mbona mtoa mada haja specify kuwa ni shopping ya nn!!!Hivi 90,000 shopping ya mke na watoto wawili ananunua nini? Maana suti tu zile za bei chee ni 75,000, gauni la bei chee la mtoto ni 55,000 na nguo ya mke nadhani nguo ya maana si chini ya 80,000
Wanaume tujitahidi tusiwatie hasira hawa wake zetu, kama hali hairuhusu basi mzungumze muelewane kwanza lakini kwa hali halisi 90,000 kwa msimu huu wa sikukuu haiwezi nunua kitu
We jamaa bhana acha dharauHivi 90,000 shopping ya mke na watoto wawili ananunua nini? Maana suti tu zile za bei chee ni 75,000, gauni la bei chee la mtoto ni 55,000 na nguo ya mke nadhani nguo ya maana si chini ya 80,000
Wanaume tujitahidi tusiwatie hasira hawa wake zetu, kama hali hairuhusu basi mzungumze muelewane kwanza lakini kwa hali halisi 90,000 kwa msimu huu wa sikukuu haiwezi nunua kitu
Kwahiyo hata shopping ya vyakula tu 90k haitoshi kwa family ya watu wa 4 kwa sikuu??90k shopping kkoo? Lol af msimu wa sikukuu? Mmmmh sjui hata ange nunua nn duuuh.
Eeeh ndyo tume kariri, na hata huyo mtoa uzi ali maanisha mavazi. Wee vip khaaaah.Kwahiyo hata shopping ya vyakula tu 90k haitoshi kwa family ya watu wa 4 kwa sikuu??
Mbona mnakariri vibaya nyie?
Aliesema Nguo ni nani hapo ?
Bas akae kwa kutulia.Mume uwezo umeishia apo sasa afanyeje??
PerceptionEeeh ndyo tume kariri, na hata huyo mtoa uzi ali maanisha mavazi. Wee vip khaaaah.
Hapa hamna mgogoro. Nikutaka kujua kama kweli ameibiwa awe ameficha hizo pexa. Mwambie uo "best wako"anitafute.Tukielewana ntamrushia misile atajua ukweli. Lasivyo amshukuru mungu na waendelee na mengine.Kuna best angu kaniomba ushauri nimeshindwa kumsaidia. Ipo hivi leo mida ya mchana alimchukua wife wake kutoka home akamshusha kituo cha mwendo kasi. akampatia tsh 90,000 kwamba aende kariakoo yy na watoto wake wawili akawafanyie shopping ya sikukuu.
Masaa kadhaa yakapita. Jamaa akasema ngoja ampigie kuona kama alifanikiwa. Simu ikawa haipatikani. Akajaribu baada ya few hours bado tena haipatikani akahisi kuna kitu hakipo sawa. Baada alivyorudi home akamkuta wife wake yupo home. Kumuuliza akamjibu very simple kuwa kaibiwa vitu vyote kariakoo simu pamoja na hela.
Jamaa alivyoanza kuhoji zaidi akaishia kuambiwa kama kupotea vimeshapotea kwa saut isiyoonyesha kuhudhunika wala nn. Ikumbukwe hela pamoja na hiyo simu vyote alipewa na huyu jamaa yangu.
Sasa jamaa yangu kamaindi kwamba haonyeshi kujutia vile hajanunua yy na hela zile ni za kupewa tu. Jamaa kakasirika sana na kaniomba ushauri. Wakuu hii imekaaje? Ni hatua gani anaweza kuchukua?
............Perception
Mkuu unapesa eeeh.Hivi 90,000 shopping ya mke na watoto wawili ananunua nini? Maana suti tu zile za bei chee ni 75,000, gauni la bei chee la mtoto ni 55,000 na nguo ya mke nadhani nguo ya maana si chini ya 80,000
Wanaume tujitahidi tusiwatie hasira hawa wake zetu, kama hali hairuhusu basi mzungumze muelewane kwanza lakini kwa hali halisi 90,000 kwa msimu huu wa sikukuu haiwezi nunua kitu
Wewe shopping yako ya bei gani msimu huu?90k shopping kkoo? Lol af msimu wa sikukuu? Mmmmh sjui hata ange nunua nn duuuh.