Msaada: Mgogoro best yangu na mke wake

Msaada: Mgogoro best yangu na mke wake

Hivi 90,000 shopping ya mke na watoto wawili ananunua nini? Maana suti tu zile za bei chee ni 75,000, gauni la bei chee la mtoto ni 55,000 na nguo ya mke nadhani nguo ya maana si chini ya 80,000

Wanaume tujitahidi tusiwatie hasira hawa wake zetu, kama hali hairuhusu basi mzungumze muelewane kwanza lakini kwa hali halisi 90,000 kwa msimu huu wa sikukuu haiwezi nunua kitu
Jamaa "anamweka mkewe kwenye majaribu makubwa", akishawishiwa akashawishika kosa ni la mume.
 
Ujutie nini na vitu vimeshaibiwa na haviwezi kurudi tena sasa hapo kuna mgogoro gani sema tu jamaa yako ni wale wanaume ambao wana gubu
 
Hivi 90,000 shopping ya mke na watoto wawili ananunua nini? Maana suti tu zile za bei chee ni 75,000, gauni la bei chee la mtoto ni 55,000 na nguo ya mke nadhani nguo ya maana si chini ya 80,000

Wanaume tujitahidi tusiwatie hasira hawa wake zetu, kama hali hairuhusu basi mzungumze muelewane kwanza lakini kwa hali halisi 90,000 kwa msimu huu wa sikukuu haiwezi nunua kitu
Unamaanisha kweli hawezi kupata nguo za watoto kwa hela hio?!! Au unakusudia nini.
 
Hivi 90,000 shopping ya mke na watoto wawili ananunua nini? Maana suti tu zile za bei chee ni 75,000, gauni la bei chee la mtoto ni 55,000 na nguo ya mke nadhani nguo ya maana si chini ya 80,000

Wanaume tujitahidi tusiwatie hasira hawa wake zetu, kama hali hairuhusu basi mzungumze muelewane kwanza lakini kwa hali halisi 90,000 kwa msimu huu wa sikukuu haiwezi nunua kitu
Hajasema ni shopping ya nini! Inawezekana siyo ya nguo kama unavyofikiria wewe na nguo alishanunua. Wakati wa sikukuu watoto wanaweza kununuliwa vitu vya aina nyingi.
 
Kama maelezo ni haya, mke kacheza trick nzuri mno.....

Wewe na jamaa wako mmekula za uso [emoji23][emoji23][emoji23]

Pale mwanaume jeuri anapokutana na mwanamke smart kichwani

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna binaadam mkamilifu ila ni vizur kila mtu akavaa viatu vinavyomtosha yy

Kushangaa pesa ya mtu 90k kama shopping ya watoto wake ni kuingilia mambo yasiyokuhusu kila mtu ana kipimo chake tuishi maisha yetu

NB. Nimempa mama watoto 20k ya nguo za watoto za sikukuu anaenda kununua za mtumba na amefurah maan ndo maisha yetu
Wala usiwajibu hao. Tena anayefanya kebehi namna hiyo unaweza kukuta hajanunulia watoto wake chochote. Pia kuna watu wengine hawajui nguo wanunue wapi zaidi ya dukani. Kuna sehemu wanafungua mitumba ukiwahi saa alfajiri unanunua nguo za watoto za sh 7000 ambazo ukiitundika dukani unaweza kuuza sh laki moja.
 
Wazee mbona elfu 90 nyingi saana.

Au nyie wenzangu mnaishi wapi?

Bajeti.
1. Watoto
mashati mawili ya mitumba elfu @ 2500 hiyo elfu 5000.

Suruali mbili za mitumba @ 3000 hiyo elfu 6000.

Viatu vya kichina elfu tatutatu hiyo elfu 6000. Soksi tutanunua February wavae za shule.

Mama chupi ya mtumba mia 800
Dela la chrismas elfu 8000
Gauni la mwaka mpya ananunua kitenge cha elfu 8000 anakuja kushona gauni hapa mtaani kwa elfu 10000 hiyo elfu 18 000.

Mimi ananinunulia shati lile la kun'gaa sikuhizi yameshuka bei 6500.

Jumla 51 000

Nauli elfu 3000 kwenda na kurudi.

Jumla 54000.

Change 36000. Hii inaingia kwenye bajeti ya vyakula.
Na ukiendelea hivi nakuhakikishia siku moja utaingia chumvini utakutana na maziwa ya mtindi ya mwanaume mwenzio yamekipamba kipochi manyoya.....

Pichu ya mtumba??? [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Apambane na hali yake. Sasa alitaka mkewe alie machozi ya damu ndiyo ajue kahuzunika?

Mada ingeishia hapa...

Mtu kapoteza vitu sasa unataka akuwekee sura ya uyatima au


Anapenda maigizo Huyo jamaa
 
Best yako mpuuzi na inaonekana muoneaji, mke ajutie kuibiwa, alitaka afanyeje, alie agaregare??
Huyo best yako ni mnyanyasaji yaani anamaindi vitu na mali coz anahudumia mkewe na watoto, ashukuru hawakudhurika wamerudi salama!

90,000 hela ndogo SANA, wangenunua nini?? Mahitaji gani?? Nguo na viatu vya watoto wangapi??
Jamaa yako inaonekana bahili SANA!

Everyday is Saturday................................😎
Kuna chobis wanafungua mitumba alfajiri ukiwahi nguo ya sh elfu saba ukiipiga pasi na kuitunduka dukani unauza elfu hamsini tena kwa kuringa.
 
Akubaliane na hali aliyoelezwa na mwenzake sababu kama huo ni ukweli basi hauwezi kubadilika cha muhimu ni kukubaliana na yaliyotokea sababu yameshatokea na hana la kufanya zaidi ya kukubali.
 
Wazee mbona elfu 90 nyingi saana.

Au nyie wenzangu mnaishi wapi?

Bajeti.
1. Watoto
mashati mawili ya mitumba elfu @ 2500 hiyo elfu 5000.

Suruali mbili za mitumba @ 3000 hiyo elfu 6000.

Viatu vya kichina elfu tatutatu hiyo elfu 6000. Soksi tutanunua February wavae za shule.

Mama chupi ya mtumba mia 800
Dela la chrismas elfu 8000
Gauni la mwaka mpya ananunua kitenge cha elfu 8000 anakuja kushona gauni hapa mtaani kwa elfu 10000 hiyo elfu 18 000.

Mimi ananinunulia shati lile la kun'gaa sikuhizi yameshuka bei 6500.

Jumla 51 000

Nauli elfu 3000 kwenda na kurudi.

Jumla 54000.

Change 36000. Hii inaingia kwenye bajeti ya vyakula.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah nimecheka had mbavu zinauma, hapa watu wananshangaa tyuuuh.
 
Kwa m2 m1 hyo enyew inategemea ananunua vazi la design gan, na quality ipi.
Kwangu me binafsi m 300k.
Duuh...mkuu unabei saana..laki tatu yote hiyo.

Unajishughulisha na nini?
 
Na ukiendelea hivi nakuhakikishia siku moja utaingia chumvini utakutana na maziwa ya mtindi ya mwanaume mwenzio yamekipamba kipochi manyoya.....

Pichu ya mtumba??? [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Ukimpa hiyo laki 3...si kuna wenye uwezo wa kumpa milioni mkuu?
 
Hapa naungana na wee kabisaa
Vipato vinatofautiana jamani, si kila. Mtu ana uwezo mkubwa mdhaniavyo, naweza tumia 500k kwenye shopping na bado ikaonekana ni ndogo kwa yule mwenye uwezo zaidi,

Cha kuangalia hapa ni hizo gubu zake na si kipato.
 
Vipato vinatofautiana jamani, si kila. Mtu ana uwezo mkubwa mdhaniavyo, naweza tumia 500k kwenye shopping na bado ikaonekana ni ndogo kwa yule mwenye uwezo zaidi,

Cha kuangalia hapa ni hizo gubu zake na si kipato.
Hata km bhana, 90k shopping lol.
Afu msimu wa sikukuu tena kkoo.
 
Ampelek kwao (mwanamke) amuachec huko kwa muda Bila kumpa huduma

TatZo mwanamke huyo hatambui jasho la pesa na kuthamn anachopewa.

View
 
Duuh...mkuu unabei saana..laki tatu yote hiyo.

Unajishughulisha na nini?
Wee bhana si msimu wa sikukuu tyuuuh, it means nilijichanga kwa mwaka mzima.
Mie sna kazi yeyote, naishi kkb, kula, kulala bure.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom