Mr Beach Boy
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 1,702
- 5,115
Nimepata fursa ya kufanya interview kwenye kampuni ya utalii kutoka Egypt
Kupitia zoom meeting
Sasa jamaa wamenitumia email kuwa saa kumi na moja kamili niwe onair
Nizingatie mambo Gani?
Wakiniuliza experience mana KAZI ni mambo ya utalii wakati Mimi ni mtalaamu wa sayansi ya jamii...
Experience najibu vipi na mengine
So Naomba msaada
Kupitia zoom meeting
Sasa jamaa wamenitumia email kuwa saa kumi na moja kamili niwe onair
Nizingatie mambo Gani?
Wakiniuliza experience mana KAZI ni mambo ya utalii wakati Mimi ni mtalaamu wa sayansi ya jamii...
Experience najibu vipi na mengine
So Naomba msaada