Msaada: Mafao yameingia kwenye account ya mahakama ya wilaya Temeke, tumezungushwa mpaka tumechoka

Nimekuelewa vizuri sana nitafanya ivyo.
Waongee nao ili iweje? Wanalipwaje pesa kwa kutimiza wajibu wao?

Ndo tatizo la wananchi wengi kutokujua sheria wala taratibu japo kidogo. Watumishi wengi kwenye idara za serikali wakishakuona ww ni kiazi watakusumbua sana.

Mtoa mada,mimi nipo idara ya mahakama ushauri wangu kwako usitoe rushwa wala usiahidi chochote kwa hao watumishi. Kuhudumiwa ni haki yako ya msingi.

Fanya utafiti ulijue jina la hakimu anayesimamia kesi ya mirathi,jina la karani wa mahakama,na jina la muhasibu.

Andika barua ya malalamiko,barua ieleze tatizo lilivyo orodhesha majina ya wahusika namba ya kesi ni muhimu. Apa pia itategemea je,hukumu ya mirathi ilishatoka? Kama imetoka na mnayo mkononi shida itakuwa kwa muhasibu wa mahakama.

Kuna dawati la malalamiko la mahakama wasilisha barua hapo au laah mtafute afisa utumishi wa mahakama ya wilaya ya temeke umkabidhi malalamiko yako, nakala nyingine itume kwa hakimu mkazi mfawidhwi wa mahakama ya mkoa pale kisutu.

Kuna mdau amekupa namba apo juu hiyo namba pia inapatikana kwenye mabango yaliyobandikwa mahakaman ni kwa msaada zaidi. Tatizo wananchi wengi ni waoga na sio wadadisi.

Tatizo lako ni simple tu na linatatulika na kwa kukusaidia watumishi wa mahakama tuna vitambulisho ambavyo tunavivaa kifuani ili iwe rahisi kunote majina ya watumishi wasumbufu.

Achana na wadau hapo juu wanakushauri utoe rushwa. Mtu anayetoa rushwa hana tofauti na asiyejielewa huwezi kutoa rushwa kama unajua haki zako,kuhudumiwa ni haki yako ya kikatiba. Kutoa rushwa kwa kisingizio cha kuepuka usumbufu hakina mantiki. Unaweza kupata haki yako bila usumbufu ikiwa :
1.Unajiamini
2.Unafata maelekezo na taratibu unazopewa
3.Unajua haki zako kama mteja.

Zingatia: Malalamiko yawe kwa maandishi. Mfumo wa mawasiliano mkuu wa kimahakama na serikalini kwa ujumla ni maandishi usiende kulalamika kwa mdomo.

Jitahidi kujieleza vizuri wakati mwingine sababu ya uoga unashindwa kujieleza vizuri ukaeleweka.
 
Hongera umempa mwongozo vizuri barikiwa, ye mwenyewe atachagua sasa achukue option ipi.....

Mahakama nadhani ndio sehemu inaongoza kwa kupenda na kuchukua rushwa pamoja na mabango meeengi ya kutokupokea wala kutoa ila jamaa wanapenda rushwa mnoooo tena hawaombi wanalazimisha pmbvv zao san

Hongera umempa mwongozo vizuri barikiwa, ye mwenyewe atachagua sasa achukue option ipi.....

Mahakama nadhani ndio sehemu inaongoza kwa kupenda na kuchukua rushwa pamoja na mabango meeengi ya kutokupokea wala kutoa ila jamaa wanapenda rushwa mnoooo tena hawaombi wanalazimisha pmbvv zao sana
Exactly 100%

Unaonekana ushawahi kudeal na issue
Hongera umempa mwongozo vizuri barikiwa, ye mwenyewe atachagua sasa achukue option ipi.....

Mahakama nadhani ndio sehemu inaongoza kwa kupenda na kuchukua rushwa pamoja na mabango meeengi ya kutokupokea wala kutoa ila jamaa wanapenda rushwa mnoooo tena hawaombi wanalazimisha pmbvv zao sana
Exactly 100%

Unaonekana hujasimuliwa ulideal personally. Hizo ni moja ya changamoto ambazo bado tunazipambania.

Ni watumishi tu wasio waaminifu hasa kwa wale watumishi wazee wale wa wazamani wanaomaliziamalzia utumishi wao.
 
Habari ndugu,
Tulikuwa na ndugu yetu alistaafu mwaka 2019 alikua nurse Muhimbili hospital.

Baada kustaafu alifuatilia mafao yake hakufanikiwa kupata. Baadae akaugua akafa 2020, baada ya kufa tunafungua na tukafanikiwa kuingiziwa mafao kwenye hiyo account ya mahakama.

Cha kusikitisha ni kwamba wanatoa hoja tofauti kila tukitaka kuchukua hiyo hela mpaka msimamizi wa mirathi amekata tamaa.

File wanadai halionekani, mara karani amefiwa, mara mhasibu yuko likizo, mara hakimu hayupo.

Naomba msaada kwa mwenye ufahamu kwenye jambo hili tunaweza kwenda wapi kupata msaada.

IMG-20210828-WA0001.jpg
 
Habari ndugu,
Tulikuwa na ndugu yetu alistaafu mwaka 2019 alikua nurse Muhimbili hospital.

Baada kustaafu alifuatilia mafao yake hakufanikiwa kupata. Baadae akaugua akafa 2020, baada ya kufa tunafungua na tukafanikiwa kuingiziwa mafao kwenye hiyo account ya mahakama.

Cha kusikitisha ni kwamba wanatoa hoja tofauti kila tukitaka kuchukua hiyo hela mpaka msimamizi wa mirathi amekata tamaa.

File wanadai halionekani, mara karani amefiwa, mara mhasibu yuko likizo, mara hakimu hayupo.

Naomba msaada kwa mwenye ufahamu kwenye jambo hili tunaweza kwenda wapi kupata msaada.
Ndio maana wakati mwingine kina Haammzzaa huibuka. Maana hii sasa ni kero iliyopitiliza.
 
Kwa ninavyofahamu fedha zikishaingia kwenye account ya mahakama,msimamizi wa mirathi atapewa fomu ya kugawa hizo fedha kwa kila mrithi ,na kila mrithi atasaini kwenye hio fomu,baada ya hapo kila mrithi atapewa vendor form kwa aijili ya kujazwa na bank ambayo muhusika anapendelea fedha zake ziwekwe huko,alafu zitarudishwa mahakamani kwa ajili ya kuprocess malipo,je haya yalikwishafanyika kwenu?

Kama tayari ,ni suala la ufatiliaji tu na hapa inabaki kua ni kazi ya muhasibu ili muweze kulipwa ,hivyo msimamizi wa mirathi anawajibu wa kufatilia kwa huyo muhasibu ajue kua amefikia hatua gani ,nadhani hua wanapeleka mahakama kuu kwa ajili ya kuprocess malipo
 
Nenda PSSSF au kama NSSF ndo ilihusika kutoa hiyo Pension peleka malalamiko ikishindikana nenda kwenye Wizara inayohusika ueleze changamoto hiyo. Mbona hata TAKUKURU anaweza kwenda pia tena wanasaidia sana kwenye kuokoa hela za Pension.
 
Habari ndugu,
Tulikuwa na ndugu yetu alistaafu mwaka 2019 alikua nurse Muhimbili hospital.

Baada kustaafu alifuatilia mafao yake hakufanikiwa kupata. Baadae akaugua akafa 2020, baada ya kufa tunafungua na tukafanikiwa kuingiziwa mafao kwenye hiyo account ya mahakama.

Cha kusikitisha ni kwamba wanatoa hoja tofauti kila tukitaka kuchukua hiyo hela mpaka msimamizi wa mirathi amekata tamaa.

File wanadai halionekani, mara karani amefiwa, mara mhasibu yuko likizo, mara hakimu hayupo.

Naomba msaada kwa mwenye ufahamu kwenye jambo hili tunaweza kwenda wapi kupata msaada.
Wachukulie hatua, toa taarifa PCB wawekewe mtego watanasa fasta.
 
Habari ndugu,
Tulikuwa na ndugu yetu alistaafu mwaka 2019 alikua nurse Muhimbili hospital.

Baada kustaafu alifuatilia mafao yake hakufanikiwa kupata. Baadae akaugua akafa 2020, baada ya kufa tunafungua na tukafanikiwa kuingiziwa mafao kwenye hiyo account ya mahakama.

Cha kusikitisha ni kwamba wanatoa hoja tofauti kila tukitaka kuchukua hiyo hela mpaka msimamizi wa mirathi amekata tamaa.

File wanadai halionekani, mara karani amefiwa, mara mhasibu yuko likizo, mara hakimu hayupo.

Naomba msaada kwa mwenye ufahamu kwenye jambo hili tunaweza kwenda wapi kupata msaada.
Tupe details za wahusika uzi huu tunaweza kupenyeza kwenye mamlaka, hata Jaji Mkuu ataisoma na kutoa maagizo. Bila kuchukuwa hatua itafika sehemu watapigwa kipigo walichopewa police juzi na Hamza
 
Kwa ninavyofahamu fedha zikishaingia kwenye account ya mahakama,msimamizi wa mirathi atapewa fomu ya kugawa hizo fedha kwa kila mrithi ,na kila mrithi atasaini kwenye hio fomu,baada ya hapo kila mrithi atapewa vendor form kwa aijili ya kujazwa na bank ambayo muhusika anapendelea fedha zake ziwekwe huko,alafu zitarudishwa mahakamani kwa ajili ya kuprocess malipo,je haya yalikwishafanyika kwenu?

Kama tayari ,ni suala la ufatiliaji tu na hapa inabaki kua ni kazi ya muhasibu ili muweze kulipwa ,hivyo msimamizi wa mirathi anawajibu wa kufatilia kwa huyo muhasibu ajue kua amefikia hatua gani ,nadhani hua wanapeleka mahakama kuu kwa ajili ya kuprocess malipo
 
Habari ndugu,
Tulikuwa na ndugu yetu alistaafu mwaka 2019 alikua nurse Muhimbili hospital.

Baada kustaafu alifuatilia mafao yake hakufanikiwa kupata. Baadae akaugua akafa 2020, baada ya kufa tunafungua na tukafanikiwa kuingiziwa mafao kwenye hiyo account ya mahakama.

Cha kusikitisha ni kwamba wanatoa hoja tofauti kila tukitaka kuchukua hiyo hela mpaka msimamizi wa mirathi amekata tamaa.

File wanadai halionekani, mara karani amefiwa, mara mhasibu yuko likizo, mara hakimu hayupo.

Naomba msaada kwa mwenye ufahamu kwenye jambo hili tunaweza kwenda wapi kupata msaada.
Binafsi ninamashaka na msimamizi wa mirdathi anaanzaje kukata Tamaa yani
 
Habari ndugu,
Tulikuwa na ndugu yetu alistaafu mwaka 2019 alikua nurse Muhimbili hospital.

Baada kustaafu alifuatilia mafao yake hakufanikiwa kupata. Baadae akaugua akafa 2020, baada ya kufa tunafungua na tukafanikiwa kuingiziwa mafao kwenye hiyo account ya mahakama.

Cha kusikitisha ni kwamba wanatoa hoja tofauti kila tukitaka kuchukua hiyo hela mpaka msimamizi wa mirathi amekata tamaa.

File wanadai halionekani, mara karani amefiwa, mara mhasibu yuko likizo, mara hakimu hayupo.

Naomba msaada kwa mwenye ufahamu kwenye jambo hili tunaweza kwenda wapi kupata msaada.
Fika kwa Mkuu wa Wilaya yako atakusaidia
 
Habari ndugu,
Tulikuwa na ndugu yetu alistaafu mwaka 2019 alikua nurse Muhimbili hospital.

Baada kustaafu alifuatilia mafao yake hakufanikiwa kupata. Baadae akaugua akafa 2020, baada ya kufa tunafungua na tukafanikiwa kuingiziwa mafao kwenye hiyo account ya mahakama.

Cha kusikitisha ni kwamba wanatoa hoja tofauti kila tukitaka kuchukua hiyo hela mpaka msimamizi wa mirathi amekata tamaa.

File wanadai halionekani, mara karani amefiwa, mara mhasibu yuko likizo, mara hakimu hayupo.

Naomba msaada kwa mwenye ufahamu kwenye jambo hili tunaweza kwenda wapi kupata msaada.
Kazi unefanya wewe lakin kuna hio mijitu bana
 
Back
Top Bottom