Msaada: Mafao yameingia kwenye account ya mahakama ya wilaya Temeke, tumezungushwa mpaka tumechoka

ni lazima pesa iingie kwanza kwenye account ya mahakama ili kuthibitisha kama mafao yake aliyefariki yamelipwa ipasavyo alafu baada ya hapo ndio zinaingizwa kwenye account mliyofungua, yaan hata msiwe na wasi wasi hata kwangu mimi kwa mzee wangu ilikuwa hivyo na pesa zenu mtaingiziwa na hakuna hata mia itakayoliwa na mahakama kwahiyo kuwa na amani tu
 
Habari ndugu,
Tulikua na ndugu yetu alistaafu mwaka 2019 alikua nurse muhimbili hospital. Baada kustaafu alifuatilia mafao yake hakufanikiwa kupata. Baadae akaugua akafa 2020,baada ya kufa tunafungua na tukafanikiwa kuingiziwa mafao kwenye iyo account ya mahakama.

Cha kusikitisha ni kwamba wanatoa hoja tofauti kila tukitaka kuchukua hiyo hela mpaka msimamizi wa mirathi amekata tamaa.
File wanadai halionekani, mara kalani amefiwa, mara mhasibu yuko rikizo,mara hakimu hayupo .

Naomba msaada kwa mwenye ufaamu kwenye jambo hili tunaweza kwenda wap kupata msaada.
Nenda Tume ya Haki za Binadamu pale jirani na Ikulu...
 
Habari ndugu,
Tulikua na ndugu yetu alistaafu mwaka 2019 alikua nurse muhimbili hospital. Baada kustaafu alifuatilia mafao yake hakufanikiwa kupata. Baadae akaugua akafa 2020,baada ya kufa tunafungua na tukafanikiwa kuingiziwa mafao kwenye iyo account ya mahakama.

Cha kusikitisha ni kwamba wanatoa hoja tofauti kila tukitaka kuchukua hiyo hela mpaka msimamizi wa mirathi amekata tamaa.
File wanadai halionekani, mara kalani amefiwa, mara mhasibu yuko rikizo,mara hakimu hayupo .

Naomba msaada kwa mwenye ufaamu kwenye jambo hili tunaweza kwenda wap kupata msaada.
Nenda kwa Hakimu Mfawidhi
 
Habari ndugu,
Tulikua na ndugu yetu alistaafu mwaka 2019 alikua nurse muhimbili hospital. Baada kustaafu alifuatilia mafao yake hakufanikiwa kupata. Baadae akaugua akafa 2020,baada ya kufa tunafungua na tukafanikiwa kuingiziwa mafao kwenye iyo account ya mahakama.

Cha kusikitisha ni kwamba wanatoa hoja tofauti kila tukitaka kuchukua hiyo hela mpaka msimamizi wa mirathi amekata tamaa.
File wanadai halionekani, mara kalani amefiwa, mara mhasibu yuko rikizo,mara hakimu hayupo .

Naomba msaada kwa mwenye ufaamu kwenye jambo hili tunaweza kwenda wap kupata msaada.
Nenda Kwa JOkate

Beba waandishi wa habari ili aandikwe akifanya mamuzi mazuri

thanks me later
 
Usipojiongeza utakoma. Mi nilikuwa na tatizo fulani hivi kweny hii mitandaon yetu kwakweli nilizunguka kufuatilia kwa zaidi ya miezi miwili. Jana nikaenda ofisini baada ya salam nikamwambia "sema nijiongeze vipi maana najua hili tatizo si la kuchukua muda mrefu hivi,sema nifanyaje?" Akajibu acha 20K niliiacha jion ananipigia simu nimekamilisha
Bullshit
 
😂😂😂

Mkuu mimi sio mtaalam wa sheria kabisa.

Ila nashauri awaone mahakama ya wilaya ama ya mkoa watamsaidia.

Ikishindikana afanye mtego na TAKUKURU wamshikishe hakimu mlungula.

Hoja zao eti mhasibu amesafiri, mhasibu akisafiri hasafiri na ofisi, karani haendi likizo na ofisi.

Hapo njia ni moja tu, wawashikishe moto wa takukuru.
 
Waongee nao ili iweje? Wanalipwaje pesa kwa kutimiza wajibu wao?

Ndo tatizo la wananchi wengi kutokujua sheria wala taratibu japo kidogo. Watumishi wengi kwenye idara za serikali wakishakuona ww ni kiazi watakusumbua sana.

Mtoa mada,mimi nipo idara ya mahakama ushauri wangu kwako usitoe rushwa wala usiahidi chochote kwa hao watumishi. Kuhudumiwa ni haki yako ya msingi.

Fanya utafiti ulijue jina la hakimu anayesimamia kesi ya mirathi,jina la karani wa mahakama,na jina la muhasibu.

Andika barua ya malalamiko,barua ieleze tatizo lilivyo orodhesha majina ya wahusika namba ya kesi ni muhimu. Apa pia itategemea je,hukumu ya mirathi ilishatoka? Kama imetoka na mnayo mkononi shida itakuwa kwa muhasibu wa mahakama.

Kuna dawati la malalamiko la mahakama wasilisha barua hapo au laah mtafute afisa utumishi wa mahakama ya wilaya ya temeke umkabidhi malalamiko yako, nakala nyingine itume kwa hakimu mkazi mfawidhwi wa mahakama ya mkoa pale kisutu.

Kuna mdau amekupa namba apo juu hiyo namba pia inapatikana kwenye mabango yaliyobandikwa mahakaman ni kwa msaada zaidi. Tatizo wananchi wengi ni waoga na sio wadadisi.

Tatizo lako ni simple tu na linatatulika na kwa kukusaidia watumishi wa mahakama tuna vitambulisho ambavyo tunavivaa kifuani ili iwe rahisi kunote majina ya watumishi wasumbufu.

Achana na wadau hapo juu wanakushauri utoe rushwa. Mtu anayetoa rushwa hana tofauti na asiyejielewa huwezi kutoa rushwa kama unajua haki zako,kuhudumiwa ni haki yako ya kikatiba. Kutoa rushwa kwa kisingizio cha kuepuka usumbufu hakina mantiki. Unaweza kupata haki yako bila usumbufu ikiwa :
1.Unajiamini
2.Unafata maelekezo na taratibu unazopewa
3.Unajua haki zako kama mteja.

Zingatia: Malalamiko yawe kwa maandishi. Mfumo wa mawasiliano mkuu wa kimahakama na serikalini kwa ujumla ni maandishi usiende kulalamika kwa mdomo.

Jitahidi kujieleza vizuri wakati mwingine sababu ya uoga unashindwa kujieleza vizuri ukaeleweka.
Hongera umempa mwongozo vizuri barikiwa, ye mwenyewe atachagua sasa achukue option ipi.....

Mahakama nadhani ndio sehemu inaongoza kwa kupenda na kuchukua rushwa pamoja na mabango meeengi ya kutokupokea wala kutoa ila jamaa wanapenda rushwa mnoooo tena hawaombi wanalazimisha pmbvv zao sana
 
Habari ndugu,
Tulikuwa na ndugu yetu alistaafu mwaka 2019 alikua nurse Muhimbili hospital.

Baada kustaafu alifuatilia mafao yake hakufanikiwa kupata. Baadae akaugua akafa 2020, baada ya kufa tunafungua na tukafanikiwa kuingiziwa mafao kwenye hiyo account ya mahakama.

Cha kusikitisha ni kwamba wanatoa hoja tofauti kila tukitaka kuchukua hiyo hela mpaka msimamizi wa mirathi amekata tamaa.

File wanadai halionekani, mara karani amefiwa, mara mhasibu yuko likizo, mara hakimu hayupo.

Naomba msaada kwa mwenye ufahamu kwenye jambo hili tunaweza kwenda wapi kupata msaada.
Nenda kwa Mkuu wa Wilaya Mh Jokate
 
Waambie wasipotoa hadi Oktoba 15,
Unawaachia unaenda kuroga.
Mng'oa kucha njoo uwasaidie hawa ndugu zetu.
 
Habari ndugu,
Tulikuwa na ndugu yetu alistaafu mwaka 2019 alikua nurse Muhimbili hospital.

Baada kustaafu alifuatilia mafao yake hakufanikiwa kupata. Baadae akaugua akafa 2020, baada ya kufa tunafungua na tukafanikiwa kuingiziwa mafao kwenye hiyo account ya mahakama.

Cha kusikitisha ni kwamba wanatoa hoja tofauti kila tukitaka kuchukua hiyo hela mpaka msimamizi wa mirathi amekata tamaa.

File wanadai halionekani, mara karani amefiwa, mara mhasibu yuko likizo, mara hakimu hayupo.

Naomba msaada kwa mwenye ufahamu kwenye jambo hili tunaweza kwenda wapi kupata msaada.
Elekeza malalamiko yako kwa maelekezo kwenye kiambatisho

5FE75356-A335-482D-A261-42265AB57163.jpeg
 
Habari ndugu,
Tulikuwa na ndugu yetu alistaafu mwaka 2019 alikua nurse Muhimbili hospital.

Baada kustaafu alifuatilia mafao yake hakufanikiwa kupata. Baadae akaugua akafa 2020, baada ya kufa tunafungua na tukafanikiwa kuingiziwa mafao kwenye hiyo account ya mahakama.

Cha kusikitisha ni kwamba wanatoa hoja tofauti kila tukitaka kuchukua hiyo hela mpaka msimamizi wa mirathi amekata tamaa.

File wanadai halionekani, mara karani amefiwa, mara mhasibu yuko likizo, mara hakimu hayupo.

Naomba msaada kwa mwenye ufahamu kwenye jambo hili tunaweza kwenda wapi kupata msaada.
Mhasibu akiondoka lazima amkaimishe mtu ofisi. Hicho kisingizio ni mfu na hakina mashiko.
 
Habari ndugu,
Tulikuwa na ndugu yetu alistaafu mwaka 2019 alikua nurse Muhimbili hospital.

Baada kustaafu alifuatilia mafao yake hakufanikiwa kupata. Baadae akaugua akafa 2020, baada ya kufa tunafungua na tukafanikiwa kuingiziwa mafao kwenye hiyo account ya mahakama.

Cha kusikitisha ni kwamba wanatoa hoja tofauti kila tukitaka kuchukua hiyo hela mpaka msimamizi wa mirathi amekata tamaa.

File wanadai halionekani, mara karani amefiwa, mara mhasibu yuko likizo, mara hakimu hayupo.

Naomba msaada kwa mwenye ufahamu kwenye jambo hili tunaweza kwenda wapi kupata msaada.
NENDENI TAKUKURU KAMA MNAMUAMINI MSIMAMIZI WA MIRATHI KUWA HAJAVUTA.
 
Back
Top Bottom