Msaada: Laptop ikiunganishwa na Ethernet, Mobile Hotspots haifanyi kazi na WiFi inazima.

Katavi

Platinum Member
Aug 31, 2009
41,983
12,702
Habari wakuu.
Nina tatizo la Laptop kutokuwa na uwezo wa kuunganisha Mobile Hotspot pale inapokuwa imeunganishwa na Ethernet Cable. Pale ninapounganisha inakuwa na uwezo wa kupata internet lakini WiFi inazima, na inafanya kutokuwa na uwezo wa kuweza kushea internet.
Naomba msaada wa kuweza kuifanya iwe na uwezo wa kutumia Ethernet Cable na WiFi kwa wakati mmoja.
Aina ni HP na ina Window 10.
 
Ukiwa umeconnect ethernet cable, ni nadra Sana WiFi ya PC kufanya kazi, kwa sababu previously wifi ilikua designed kwa ajili ya kushare (kupokea) internet connection kutoka other sources nje ya hio PC. Sasa unapojaribu kuwasha Wifi ya PC na huku tayari kuna internet access through ethernet cable lazima igome.

Kama umeconnect ethernet cable, unawez kuwasha hotspot ya PC ili device nyingne nje ya PC yako ziweze kupata internet connection.
 
Ukiwa umeconnect ethernet cable, ni nadra Sana WiFi ya PC kufanya kazi, kwa sababu previously wifi ilikua designed kwa ajili ya kushare (kupokea) internet connection kutoka other sources nje ya hio PC. Sasa unapojaribu kuwasha Wifi ya PC na huku tayari kuna internet access through ethernet cable lazima igome.

Kama umeconnect ethernet cable, unawez kuwasha hotspot ya PC ili device nyingne nje ya PC yako ziweze kupata internet connection.
Shida yangu ipo hapo katika sentensi yako ya mwisho...........HOTSPOT ya PC ndio haifanyi kazi........
 
mbona ni kama unataka kuwa na network mbili kwa wakati mmoja?

au moja haina internet na nyingine ina data tofauti?
Nataka laptop iwe na uwezo wa kushea internet through Hotspot..........nilidhani shida inaanzia hapo WiFi inapokuwa haipo active.
 
Kama Hotspot haifanyi kazi huenda drivers za Hotspot hazijakaa sawa.
Fanya ku-troubleshoot problem au update drivers za Hotspot
Ku - trouble shoot nimejaribu mara kadhaa sioni mabadiliko. Labda hapo katika drivers....
 
Wakuuu na mm naomba kwa Mwenye welewa Wa haya mambo ya tag photo,kuna picha nilikosea nikatumia photo tag kwa open camera ila nikiwa sehemu nyingine nikasahau kuchange hiyo setting,so inasoma setting za sehemu tofauti je naweza kupata mtaalam Wa kufuta hizo tag kwenye hiyo picha ili zisome same huska?
 
Ebwanae nami naomba unisaidie kwa hili,kuna sehemu wanenambia wanauwezo wa kunipa huduma za Ethernet je hii naweza kutumia kwa smart tv na kuunganisha kwa simu pia
Ni mgeni wa haya mambo naitaji kujifunza
Ethernet ni njia ya kupitisha data kama wifi vile.

Internet inakuja nyumbani kama ni fiber, mtandao wa simu etc ikifika inapelekwa kwenye router halafu router inaisambaza ile internet kwenye vifaa mbalimbali kwa kutumia wifi ama Ethernet.

Kama kwako inakuja kama Ethernet unaweza tafuta router yenye wan port ukaisambaza kwa wifi ili kila kifaa kipate.

Alternative unaweza ukaitumia hivyo hivyo tafuta lan switch then peleka waya kwenye tv na vifaa vyengine kama Computer. TV za kisasa ambazo ni smart zina port ya Ethernet angalia nyuma.
 
Habari wakuu.
Nina tatizo la Laptop kutokuwa na uwezo wa kuunganisha Mobile Hotspot pale inapokuwa imeunganishwa na Ethernet Cable. Pale ninapounganisha inakuwa na uwezo wa kupata internet lakini WiFi inazima, na inafanya kutokuwa na uwezo wa kuweza kushea internet.
Naomba msaada wa kuweza kuifanya iwe na uwezo wa kutumia Ethernet Cable na WiFi kwa wakati mmoja.
Aina ni HP na ina Window 10.
Sometime Hizi machine zinakuwa na network adapter ambayo haiwezi fanya mambo mawili kwa pamoja, mfano kupokea internet na kuirusha.

Zipo 3rd party programs ambazo zamani tulikuwa tunatumia kama Connectify, hizi zina install 3rd party adapter unaweza ukakonect wifi kadhaa kwa mpigo ukaziunganisha na kutengeneza hotspot moja yenye speed ya wifi zote kwa mpigo.

Jaribu kutumia hii connectify me sema ilikuwa ya kulipia labda ukaisake torrent huko.
 
Sometime Hizi machine zinakuwa na network adapter ambayo haiwezi fanya mambo mawili kwa pamoja, mfano kupokea internet na kuirusha.

Zipo 3rd party programs ambazo zamani tulikuwa tunatumia kama Connectify, hizi zina install 3rd party adapter unaweza ukakonect wifi kadhaa kwa mpigo ukaziunganisha na kutengeneza hotspot moja yenye speed ya wifi zote kwa mpigo.

Jaribu kutumia hii connectify me sema ilikuwa ya kulipia labda ukaisake torrent huko.
Okay shukrani
 
Back
Top Bottom