Da_Hustler
Member
- Jun 24, 2025
- 23
- 35
Maishani mwangu sijawahi jivunia upuuzi!!
Some says a star sign ndio sababu, ila sijawahi kuwa hard to love nadhani I'm always all in na najikuta nakuwa a standard na bahati mbaya nusu ya watu wangu tuliowahi date were broken to begin with, wengi huwa hawaamini upendo I offered till I'm gone,
8 years ago I meet someone sitamtaja ni nan, ila currently she's married and having a kids, leo 03:07 am Asian marketing (I'm a trader by the way) a text message on Facebook pop up, lala ww!! Sikujibu ikaja a video call nikaignore!!
Ikashuka a text, "I miss you, kwann uliniharibu!?"
I freaked out like WTF, she was like I'm... I miss the version of love, you loved me nimekuwa mkimbizi na najiona mjinga nlitoroka kwenye aman nkahamia vitani, I miss movies kwenye projector na sufuria la popcorn nimekaa na ww kwenye zuria nakuona, kuamka weekend nimepikiwa breakfast saa hv nimekaa nasubiri mtu arudi hata cm hapokei na akirudi yuko njwi, 4.6yrs tuliodate hukuwahi kunikosa hata kibao nna makovu napigwa kila uchwao kwann uliniharibu...
Ukandanganya mapenzi kitu kizuri now daily nalia why!!
Mtu kama huyu namjibuje?
Some says a star sign ndio sababu, ila sijawahi kuwa hard to love nadhani I'm always all in na najikuta nakuwa a standard na bahati mbaya nusu ya watu wangu tuliowahi date were broken to begin with, wengi huwa hawaamini upendo I offered till I'm gone,
8 years ago I meet someone sitamtaja ni nan, ila currently she's married and having a kids, leo 03:07 am Asian marketing (I'm a trader by the way) a text message on Facebook pop up, lala ww!! Sikujibu ikaja a video call nikaignore!!
Ikashuka a text, "I miss you, kwann uliniharibu!?"
I freaked out like WTF, she was like I'm... I miss the version of love, you loved me nimekuwa mkimbizi na najiona mjinga nlitoroka kwenye aman nkahamia vitani, I miss movies kwenye projector na sufuria la popcorn nimekaa na ww kwenye zuria nakuona, kuamka weekend nimepikiwa breakfast saa hv nimekaa nasubiri mtu arudi hata cm hapokei na akirudi yuko njwi, 4.6yrs tuliodate hukuwahi kunikosa hata kibao nna makovu napigwa kila uchwao kwann uliniharibu...
Ukandanganya mapenzi kitu kizuri now daily nalia why!!
Mtu kama huyu namjibuje?