Msaada kwa wataalam wa matumizi ya umeme.

Sitachoka

JF-Expert Member
Nov 17, 2011
3,030
1,303
Wanabodi, habari zenu

Nahitaji kufahamisha kuhusu vitu vinavyotumia umeme kwa matumizi makubwa zaidi, naishi katika nyumba ya kupanda hivyo tumeshindwa kupangiana kiwango kutokana cha fedha kutokana matumizi ya vitu vyake. Wapo wapangaji wenye vifaa vya umeme kama friji, wenye tv, wenye subwoofer, wenye ittor, wenye pasi, ni yupi kati yao anatumia umeme mwingi? Tafadhari ainisha kwa unit kama utaweza ahsante. Karibu
 
Kwanza unabid ufahamu kifaa chochote kinacho convert electrical energy to heat energy e.g. Heater, pasi na jiko huwa vinakula umeme sana. Kwa vifaa kama radio, deki, tv, subwoofer huwa vinatumia umeme kidogo na kwa upande wa frij huwa inakuwa katikati. Kuhusu ku specify unit itakuwa ngumu maana hata hvyo vifaa vyenyewe vinatofautia. E.g tv ya CRT inakula umeme kuliko LCD.
 
Kwanza unabid ufahamu kifaa chochote kinacho convert electrical energy to heat energy e.g. Heater, pasi na jiko huwa vinakula umeme sana. Kwa vifaa kama radio, deki, tv, subwoofer huwa vinatumia umeme kidogo na kwa upande wa frij huwa inakuwa katikati. Kuhusu ku specify unit itakuwa ngumu maana hata hvyo vifaa vyenyewe vinatofautia. E.g tv ya CRT inakula umeme kuliko LCD.

ahsante
 
hahahaha umenikumbusha mother house wangu wa zamani kabla sijapata kakibanda kangu bili ilikuwa ni sawa kwa wote hata kama una balbu tu ikikuuma nawewe kanunue vyombo vinavyotumia umeme mwingi no malalamiko ilikuwa poa sana
 
Wanabodi, habari zenu

Nahitaji kufahamisha kuhusu vitu vinavyotumia umeme kwa matumizi makubwa zaidi, naishi katika nyumba ya kupanda hivyo tumeshindwa kupangiana kiwango kutokana cha fedha kutokana matumizi ya vitu vyake. Wapo wapangaji wenye vifaa vya umeme kama friji, wenye tv, wenye subwoofer, wenye ittor, wenye pasi, ni yupi kati yao anatumia umeme mwingi? Tafadhari ainisha kwa unit kama utaweza ahsante. Karibu

That's another headache making issue!
Kutumia mita moja kwa wapangaji wenye matumizi tofauti tena wasio na ujuzi kuhusu umeme ni tatizo sugu kwenye nyumba nyingi.

Matumizi ya meter kwa kila mpangaji bado ni suala gumu sana, sijui ufahamu wako katika mfumo wa umeme ila tu nikwambie bei ya units za umeme hasa mita za luku ni kichefuchefu. Ukinunua umeme kuanzia unit moja hadi hamsini kuna bei yake na unit zinazozidi yaani ya 51 kuendelea zina bei nyingine, sasa kukubaliana nani na nani wamefanya matumizi yazidi unit 50 na hivyo walipe bei tofauti nayo ni issue nyingine.

Nawashauri kufikiria kufanyia kazi ya kiujanja mita yenu na wiring system yote, waibieni tanesco umeme mfanye matumizi yoyote mnayotaka bila kuwalipa lundo la hela. Wao wenyewe pia wezi tu
 
Ukitaka kujua kifaa cha umeme kinakula umeme kiasi gani, angalia hicho kifaa ni cha watt ngapi. Mfano balbu ya watt 100 inakula unit 1 kila inapowashwa masaa 10. Tunajuaje?
Tumia formula hii:muda(hrs) wa kutumia unit 1 = 1000/watts za hicho kifaa. Kwa balbu ya watt 100, itakuwa 1000/100 = 10 hrs.
Je pasi ya watt 1000 inamaliza unit baada ya muda gani? Ni 1000/1000 = 1. Kumbe pasi ya 1000 inahitaji saa 1 tu kumaliza unit moja.
Kwa hiyo je, pasi hiyo inakula umeme mwingi kuliko balbu ya watt 100? Ni kipi kati ya hivi kinahusika kumaliza luku au kuleta bili kubwa kwa mwezi?
Matumizi ya umeme yanategemea mambo 2;
  • power consumption/time
  • operating time
yaani muda wa kutumia kifaa ni muhimu. Tukichukulia pasi ya 1000w inayotumiwa masaa 2 kwa wiki na balbu ya 100 inayowashwa masaa 6 kila siku, pasi itatumia unit 8 kwa mwezi na balbu unit> 6*30(siku kwa mwezi)=180 masaa ya matumizi kwa mwezi. Chukua 180/10(muda wa kula unit1)=unit 18. Pasi unit 8 tu. Kwa hiyo utaona kuwa tuhuma dhidi ya pasi hazina ukweli. Jambo lingine ni kuwa pasi inakula umeme pale tu taa yake inapowaka. Ikizima hakuna umeme inaotuchukua!
Friji/friza pia zinatuhumiwa sana, ni kweli lakini ni kwa sababu ya masaa mengi ambayo zinafanya kazi. Watts zake ni za kawaida, 100w, 160w,n.k.
Kwa hiyo unapotaka kujua kipi kinakumalizia luku au kuleta bili kubwa zingatia mambo 2 hapo juu.
 
Ukitaka kujua kifaa cha umeme kinakula umeme kiasi gani, angalia hicho kifaa ni cha watt ngapi. Mfano balbu ya watt 100 inakula unit 1 kila inapowashwa masaa 10. Tunajuaje?
Tumia formula hii:muda(hrs) wa kutumia unit 1 = 1000/watts za hicho kifaa. Kwa balbu ya watt 100, itakuwa 1000/100 = 10 hrs.
Je pasi ya watt 1000 inamaliza unit baada ya muda gani? Ni 1000/1000 = 1. Kumbe pasi ya 1000 inahitaji saa 1 tu kumaliza unit moja.
Kwa hiyo je, pasi hiyo inakula umeme mwingi kuliko balbu ya watt 100? Ni kipi kati ya hivi kinahusika kumaliza luku au kuleta bili kubwa kwa mwezi?
Matumizi ya umeme yanategemea mambo 2;
  • power consumption/time
  • operating time
yaani muda wa kutumia kifaa ni muhimu. Tukichukulia pasi ya 1000w inayotumiwa masaa 2 kwa wiki na balbu ya 100 inayowashwa masaa 6 kila siku, pasi itatumia unit 8 kwa mwezi na balbu unit> 6*30(siku kwa mwezi)=180 masaa ya matumizi kwa mwezi. Chukua 180/10(muda wa kula unit1)=unit 18. Pasi unit 8 tu. Kwa hiyo utaona kuwa tuhuma dhidi ya pasi hazina ukweli. Jambo lingine ni kuwa pasi inakula umeme pale tu taa yake inapowaka. Ikizima hakuna umeme inaotuchukua!
Friji/friza pia zinatuhumiwa sana, ni kweli lakini ni kwa sababu ya masaa mengi ambayo zinafanya kazi. Watts zake ni za kawaida, 100w, 160w,n.k.
Kwa hiyo unapotaka kujua kipi kinakumalizia luku au kuleta bili kubwa zingatia mambo 2 hapo juu.

ahsante sana kwa ufafanuzi wako mzuri.
 
That's another headache making issue!
Kutumia mita moja kwa wapangaji wenye matumizi tofauti tena wasio na ujuzi kuhusu umeme ni tatizo sugu kwenye nyumba nyingi.

Matumizi ya meter kwa kila mpangaji bado ni suala gumu sana, sijui ufahamu wako katika mfumo wa umeme ila tu nikwambie bei ya units za umeme hasa mita za luku ni kichefuchefu. Ukinunua umeme kuanzia unit moja hadi hamsini kuna bei yake na unit zinazozidi yaani ya 51 kuendelea zina bei nyingine, sasa kukubaliana nani na nani wamefanya matumizi yazidi unit 50 na hivyo walipe bei tofauti nayo ni issue nyingine.

Nawashauri kufikiria kufanyia kazi ya kiujanja mita yenu na wiring system yote, waibieni tanesco umeme mfanye matumizi yoyote mnayotaka bila kuwalipa lundo la hela. Wao wenyewe pia wezi tu

unaonaje ukinipa hzo bei zake?
 
That's another headache making issue!
Kutumia mita moja kwa wapangaji wenye matumizi tofauti tena wasio na ujuzi kuhusu umeme ni tatizo sugu kwenye nyumba nyingi.

Matumizi ya meter kwa kila mpangaji bado ni suala gumu sana, sijui ufahamu wako katika mfumo wa umeme ila tu nikwambie bei ya units za umeme hasa mita za luku ni kichefuchefu. Ukinunua umeme kuanzia unit moja hadi hamsini kuna bei yake na unit zinazozidi yaani ya 51 kuendelea zina bei nyingine, sasa kukubaliana nani na nani wamefanya matumizi yazidi unit 50 na hivyo walipe bei tofauti nayo ni issue nyingine.

Nawashauri kufikiria kufanyia kazi ya kiujanja mita yenu na wiring system yote, waibieni tanesco umeme mfanye matumizi yoyote mnayotaka bila kuwalipa lundo la hela. Wao wenyewe pia wezi tu
natambua nitakua muhujumu uchumi ila kama vip poa;
nilitaka kuanzisha thread kwa ajili ya suala hilo kwa maana nyumba niliyopanga mimi kwa mwezi umeme wa zaidi ya sh. 51,000 na siku za nyuma haikuwa hivyo, kuna mpangaji mwezetu katushauri tumtafute mtu wa TANESCO ili aje aibane liku eti haitamaliza sana unit; Je, hili linawezekana?
 
yani this is another headache, leo nimeshinda nawaza tu. after 8 days 5000, kwa kila mpangaji. eti bili ya umeme luku. yani luku inashinda hata gharama za kupanga chumba!
 
yani this is another headache, leo nimeshinda nawaza tu. after 8 days 5000, kwa kila mpangaji. eti bili ya umeme luku. yani luku inashinda hata gharama za kupanga chumba!
.
Mwea Msaada wa haraka! ... badilisheni taa zote za nyumba yenu kutoka bulb za kawaida kwenda zile zinazoitwa "energy saver bulbs" alafu ziwe ni za watts ndogo .. watts 10 or less.

Ukifanya hivi utakuwa umepunguza gharama za umeme zaidi ya NUSU au hata zaidi ya hapo ... nna experience na hili ... fanya hivyo kama njia ya kwanza alafu utakuja kusema faida zake.


url
 
mkuu dotworld tunatumia energy server. na gharama ndo hizi za sijui ingekuwa tunatumia bulb za kawaida ingekuwaje.
 
nawasi wasi na mama mwenye nyuma natuchakachua, coz huwa anakusanya mwenyewe michango, then ananunua kwa njia ya m pesa.
 
yani this is another headache, leo nimeshinda nawaza tu. after 8 days 5000, kwa kila mpangaji. eti bili ya umeme luku. yani luku inashinda hata gharama za kupanga chumba!
kikawaida inakuwa ni vigumu kupanga mahesabu kulingana na vitu mtu alivyokuwa navyo. kwani utakuta havitumii muda wote. kwa mfano microwave inatumika si zaidi ya dakika tano kwa siku, utakuta wengine wana tv lakini hawana hata muda wa kuwasha, wanarudi kazini usiku wamechoka wanalala.
fridge freezer pekee ndio kifaa kinachopiga kazi muda wote, kwa wastani freezer inakula unit moja kwa siku, pasi ya watt 2000 ikifanya kazi nusu saa ndio inakuwa ni sawa na freezer lilofanya kazi 24hrs.
ila nyumba ya kulipia 5000 kila wiki kwa umeme ni janga hilo....... kimbia kaka
 
paje , kaka inaniumiza kicha ile kishenzi, afu tatizo mwezi huu ndo nimelipia kodi ya miezi 6. na huu mwezi wa 6, ndo mwezi wa kwanza so nina miezi 5, mbele.
 
Fanyeni yafuatayo:
1. Hakikisheni mnanunua wenye umeme. Maana wenye nyumba wengi wanatumia njia ya kuchangisha wakati si kweli mara zote wanatumia kununa umeme.
2. Muiteni fundi anayejua umeme (huku mitaani siyo mafundi wote ni qualified electrician) aangalie wiring ya nyumba na kuhakikisha hakuna leakage zozote.
 
Wanabodi, habari zenu

Nahitaji kufahamisha kuhusu vitu vinavyotumia umeme kwa matumizi makubwa zaidi, naishi katika nyumba ya kupanda hivyo tumeshindwa kupangiana kiwango kutokana cha fedha kutokana matumizi ya vitu vyake. Wapo wapangaji wenye vifaa vya umeme kama friji, wenye tv, wenye subwoofer, wenye ittor, wenye pasi, ni yupi kati yao anatumia umeme mwingi? Tafadhari ainisha kwa unit kama utaweza ahsante. Karibu


Tembelea post hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...acholipa-kwa-umeme-unaotumia.html#post2351480

huenda ukapata ufumbuzi wa suala lako
 
Back
Top Bottom