donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,523
Salam wakuu,
Mwaka Jana rasmi niliunganishwa na Tanesco umeme nikaanza kupata huduma. Waliniweka kwenye Ile tariff ambayo ukiweka umeme wa elfu kumi unapata units 28. Sasa ndugu zangu changamoto iliyokua inanikabili ni kwamba hizo 28 mwezi sitoboi lazima ninunue tena umeme. Nikaenda tanesco nikaongea na mhasibu mwezi December akasema nije February wanihamishe tarrif. Cha ajabu juzi nimeenda ananiambia mbona nina matumizi makubwa sana (January takribani units 131 nimetumia). Sasa nikashangaa kwa maana ndani nina friji dogo tu (hisense) TV, subwoofer na Xbox (ambayo siitumii ipo tu). Lakini matumizi yanakua makubwa, mhasibu akaniambia kunaweza kukawa na tatizo somewhere kwenye wiring. Tatizo fundi aliyenifanyia wiring kwa sasa hayupo. Hivyo kwa wataalam WA umeme naomba mnishauri nikimtafuta fundi nimwambie aangalie vitu gani ambavyo vinapelekea umeme kutumika mkubwa kiasi hiko. Jama saa SITA mchana nilirekodi units zilizokua zimebaki ambazo NI 6.65, kuja kuangalia mchana WA Leo nimekuta zimebaki units 2.79b(takribani units 3.86) zimetumika ndani ya masaa 24. Je, shida iko wapi wakuu? Shukrani.
Mwaka Jana rasmi niliunganishwa na Tanesco umeme nikaanza kupata huduma. Waliniweka kwenye Ile tariff ambayo ukiweka umeme wa elfu kumi unapata units 28. Sasa ndugu zangu changamoto iliyokua inanikabili ni kwamba hizo 28 mwezi sitoboi lazima ninunue tena umeme. Nikaenda tanesco nikaongea na mhasibu mwezi December akasema nije February wanihamishe tarrif. Cha ajabu juzi nimeenda ananiambia mbona nina matumizi makubwa sana (January takribani units 131 nimetumia). Sasa nikashangaa kwa maana ndani nina friji dogo tu (hisense) TV, subwoofer na Xbox (ambayo siitumii ipo tu). Lakini matumizi yanakua makubwa, mhasibu akaniambia kunaweza kukawa na tatizo somewhere kwenye wiring. Tatizo fundi aliyenifanyia wiring kwa sasa hayupo. Hivyo kwa wataalam WA umeme naomba mnishauri nikimtafuta fundi nimwambie aangalie vitu gani ambavyo vinapelekea umeme kutumika mkubwa kiasi hiko. Jama saa SITA mchana nilirekodi units zilizokua zimebaki ambazo NI 6.65, kuja kuangalia mchana WA Leo nimekuta zimebaki units 2.79b(takribani units 3.86) zimetumika ndani ya masaa 24. Je, shida iko wapi wakuu? Shukrani.