Msaada kwa anayemjua vizuri Shetani

Msaada kwa anayemjua vizuri Shetani

Shetani wapo kule Midume inayofiranaa kwenye madanguro (KANISANI)
 
"Ninayo mwenyewe" si jibu la swali nililouliza.

Umenipa jibu la swali ambalo sijauliza, nililouliza hujajibu.

nishakujibu



quantum physics ni knowledge ya watu walika wakafikiri wakagundua



wewe umesoma walichogundua wenzako bila we kujua bali kuwasikiliza kuwaelewa na kukariri



am a human i got brain too i can think and measure
 
Hujajibu swali, una elimu ya kiwango gani katika quantum physics?

Maana concepts nyingine hizi kwa mtu asiyefahamu hata the basics za quantum physics kumuelezea ni zaidi ya kujaribu kumpigia gitaa mbuzi.

Kwanini usimwambie hayo unayotaka kumwambia na ajikoroge ili uone kuwa hajui?
Kwanini unamwambia ataje kitu ambacho YEYE anasababu za kutokukitaja?
"Ninayo mwenyewe" si jibu la swali nililouliza.

Umenipa jibu la swali ambalo sijauliza, nililouliza hujajibu.
Nini umuhimu huyo jamaa kutaja kiwango chake cha uelewa wa Quantum Physics?
Kama unadhani hajui hizo Basics zake wewe mwaga hicho unachotaka kusema halafu tutaona

Kuna weengine elimu na ufahamu wa mambo mbali mbali hawajifunza kwa namna za kishule hivyo viwango vyao vya elimu waliyopata havina kipimo cha kishule unachokijua wewe hivyo kuwadai wakuambie kiwango [ambacho ni kile cha kishule] ni kama kuwazuia wasijadili jambo ambalo wana ufahamu nalo

Sema unachotaka kusema kijana!
 
Kwanini usimwambie hayo unayotaka kumwambia na ajikoroge ili uone kuwa hajui?
Kwanini unamwambia ataje kitu ambacho YEYE anasababu za kutokukitaja?

Nini umuhimu huyo jamaa kutaja kiwango chake cha uelewa wa Quantum Physics?
Kama unadhani hajui hizo Basics zake wewe mwaga hicho unachotaka kusema halafu tutaona

Kuna weengine elimu na ufahamu wa mambo mbali mbali hawajifunza kwa namna za kishule hivyo viwango vyao vya elimu waliyopata havina kipimo cha kishule unachokijua wewe hivyo kuwadai wakuambie kiwango [ambacho ni kile cha kishule] ni kama kuwazuia wasijadili jambo ambalo wana ufahamu nalo

Sema unachotaka kusema kijana!

Umejuaje kwamba kiwango ninachokiongelea ni cha kishule?

Hayo maelezo unayotaka nieleze nishayaeleza, naona kama nampigia mbuzi gitaa, ndiyo maana nikauliza.
 
nishakujibu



quantum physics ni knowledge ya watu walika wakafikiri wakagundua



wewe umesoma walichogundua wenzako bila we kujua bali kuwasikiliza kuwaelewa na kukariri



am a human i got brain too i can think and measure

Kwanza hujajibu swali bado, hujasema unaelewa quantum physics kwa kiwango gani, ungejibu hili tungepata pa kianzia maana suala lako la utupu limejikita na kujibiwa vizuri katika quantum physics.

Halafu suala la kwamba aliyegundua ni nani ni irrelevant, suala relevant ni kama hizo habari zina mantiki au hazina.

Ninavyokwambia kwamba utupu ni jambo la kufikirika tu, hiyo ni established quantum physics.
 
Akiwa hana viambatanisho kama vile vyeti itakuwaje?

Viambatanisho kama vyeti havihusiani na ujuzi, vinahusiana na shule.

Unaweza kuwa na ujuzi bila vyeti, na unaweza kuwa na vyeti bila ujuzi.

Ndiyo maana naongelea ujuzi, ambao hauhusiani moja kwa moja na vyeti wala shule.
 
Kwanza hujajibu swali bado, hujasema unaelewa quantum physics kwa kiwango gani, ungejibu hili tungepata pa kianzia maana suala lako la utupu limejikita na kujibiwa vizuri katika quantum physics.

Halafu suala la kwamba aliyegundua ni nani ni irrelevant, suala relevant ni kama hizo habari zina mantiki au hazina.

Ninavyokwambia kwamba utupu ni jambo la kufikirika tu, hiyo ni established quantum physics.

craming is a core problem we toa facts elimu yangu haikuhusu utaijudge hapa


habari ingetoka wapi bila kugundua?


they say establish mana uwezo mdogo
 
Viambatanisho kama vyeti havihusiani na ujuzi, vinahusiana na shule.

Unaweza kuwa na ujuzi bila vyeti, na unaweza kuwa na vyeti bila ujuzi.

Ndiyo maana naongelea ujuzi, ambao hauhusiani moja kwa moja na vyeti wala shule.

Hutaki ujuzi ambao uko verifiable?

Nikikuambia sasa hivi kuwa mimi nina PhD utakubali?
 
Viambatanisho kama vyeti havihusiani na ujuzi, vinahusiana na shule.

Unaweza kuwa na ujuzi bila vyeti, na unaweza kuwa na vyeti bila ujuzi.

Ndiyo maana naongelea ujuzi, ambao hauhusiani moja kwa moja na vyeti wala shule.

unatumia kipimo gani kujua kiwango cha ujuzi wa mtu nje ya elimu ya shule?
 
craming is a core problem we toa facts elimu yangu haikuhusu utaijudge hapa


habari ingetoka wapi bila kugundua?


they say establish mana uwezo mdogo

Hahaha,

Ume cram kwamba nime cram.

Halafu unasema cramming is a core problem.

Unajuaje nime cram?

Usipoweza kujibu hili unathibitisha kwamba wewe ndiye ume cram kwamba nime cram.
 
Kwanza hujajibu swali bado, hujasema unaelewa quantum physics kwa kiwango gani, ungejibu hili tungepata pa kianzia maana suala lako la utupu limejikita na kujibiwa vizuri katika quantum physics.

Halafu suala la kwamba aliyegundua ni nani ni irrelevant, suala relevant ni kama hizo habari zina mantiki au hazina.

Ninavyokwambia kwamba utupu ni jambo la kufikirika tu, hiyo ni established quantum physics.

Dogma fallacy
 
unatumia kipimo gani kujua kiwango cha ujuzi wa mtu nje ya elimu ya shule?

Kipimo cha uelewa na logical consistency.

Hujajibu swali, unaelewa quantum.physics kwa kiwango kipi?

Quantum physics ime settle suala.la utupu as stated above.
 
Hutaki ujuzi ambao uko verifiable?

Nikikuambia sasa hivi kuwa mimi nina PhD utakubali?

Wapi nimeandika sitaki ujuzi ambao uko verifiable?

Kipi kimekufanya udhani hivyo?

Kuna ujuzi ambao hauko verifiable?
 
Back
Top Bottom