Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,905
- 146,033
ondoa space utauona
thibitisha sijajibu swali previous uliposema sijajibu
Onesha ulipojibu, ukishindwa umenithibitishia.
ondoa space utauona
thibitisha sijajibu swali previous uliposema sijajibu
Context katika context gani?
Hicho sicho nilichokuuliza
Siwezi kukuuliza context ya chochote wakati hata sijui kama unajua context ni kitu gani
Nijibu .....
Unajua context ni kitu gani?
Jamii inaweza kuelewa hivi na kufikiri hivi, si lazima awe fulani.
Hii inamaana kuwa jamii inaanzia kwenye fulani
Hivyo sijakosea kusema fulani
Swali langu liko pale pale
Kwanini tutumie uelewa wa jamii fulani?
Je huo uelewa umekuwa verifiable na nini hadi tulazimike kuutumia?
onesha ulipojibu, ukishindwa umenithibitishia.
First show that it is false, mtu hujatuambia unaelewa quantum physics kwa kiwango gani unataka kukataa on the basis of false logic kitu ambacho hata hujatuonyesha kwamba unakijua?
Huku kama si kukumbatia ujinga ni nini?
Ushahidi uko wapi?Kwa sababu umepikwa katika convergence ya peer review.
Kwahiyo?Watu mpaka leo wanafanya experiments kujaribu kukosoa relativity wanashindwa.
Niwe ndio naijua au siijui quantum physics maswali yangu yanahitaji majibu na natakiwa nijibiweWewe kabla ya kuleta habari za kuuliza kwa nini tu hukue hiki au lile unajua nini kuhusu quantum physics ili uweze kui question?
Shetani wapo kule Midume inayofiranaa kwenye madanguro (KANISANI)
Umekuja na jina lingine mara?
Na hili linaenda kwenye ignore list.
Unachokifanya siyo haki, kukashifu dini ya mwenzio moto wake ni mbaya sana, tumuombe Mwenyezi Mungu atuepushe nayo Naijeria wanaujua moto huu, be critical man or woman whatever the gender siyo lazima kuchangia kwa kughadhabisha wengine, dini hizi zililetwa kwa meli, hence we abudu unachoabudu kimya kimya, mwisho wa siku itajulikana mbivu na mbichi, nichofahamu hamna dini inaruhusu ufirauni bali inventions za wanadamu, ndo maana imeandikwa amelaaniwa mfiraji na mfirwaji (emphasis not mine).
Unachokifanya siyo haki, kukashifu dini ya mwenzio moto wake ni mbaya sana, tumuombe Mwenyezi Mungu atuepushe nayo Naijeria wanaujua moto huu, be critical man or woman whatever the gender siyo lazima kuchangia kwa kughadhabisha wengine, dini hizi zililetwa kwa meli, hence we abudu unachoabudu kimya kimya, mwisho wa siku itajulikana mbivu na mbichi, nichofahamu hamna dini inaruhusu ufirauni bali inventions za wanadamu, ndo maana imeandikwa amelaaniwa mfiraji na mfirwaji (emphasis not mine).
We jamaa unauwezo mdogo sana wakufikiri mambo, na isingekuwepo hiyo ignore list sijui nini kingekustili maana imeshakuwa kama kumbilio lako unapokosa hoja za msingi..
Ukiongelea kuthibitisha nilishaanza mimi kukuuliza uthibitishe kama utupu upo.
Hujathibitisha bado.
Anza wewe.
Utupu upo nenda space kuna utupu kule. Kijana vipi unaishi dunia ya wapi.
Ushasema "space", kuna space, hakuna utupu.
Zaidi ya hapo space ina energy field, inayotoa virtual particles constantly.
Kwa hiyo ukiwa na space, huna utupu. Ukitaka utupu ondoa space.
Ndiyo maana nikauliza uelewa wa quantum physics, a basic understanding of quantum physics would help tremendously in shedding light on this question.
Sema "space" kwa kiswahili? Achana na stori za kikaenda kikarudi.
Nionyeshe hiyo energy ya space?
Niletee ushaidi wa space?
Sina muda na hizo particles kwasababu huto weza kuzithibitisha hapa?
Umesha kubali kuwa Utupu upo as long as ukiondoa "space".
Sasa kwanini unapinga "utupu"?
wapi nimekubali kwamba utupu upo ukiondoa space?
Kuhusu energy ya space
anzia hapa kwanza vacuum energy - wikipedia, the free encyclopedia
pia ona Empty space has more energy than everything in the Universe, combined – Starts With A Bang
wapi nimekubali kwamba utupu upo ukiondoa space?
Kuhusu energy ya space
anzia hapa kwanza vacuum energy - wikipedia, the free encyclopedia
pia ona Empty space has more energy than everything in the Universe, combined – Starts With A Bang