Msaada kwa anayemjua vizuri Shetani

Msaada kwa anayemjua vizuri Shetani

Nimeandika kwamba nimeanza na Judeo-Christian godhead.
Unaweza kumfafanua huyu Mungu ili yoyote yule amuelewe?
Ambaye hujaweza kumthibitisha kwamba yupo.
Sijui unamaanisha kitu gani hapa
Yeye wala mwingine yeyote.
Huyu nae ni yupi?
Kushindwa kuonyesha kitu kipo si ushahidi kwamba kipo.
Ni kweli
Kisichopo hakina ushahidi kwamba hakipo, kwa sababu hakipo.
Kudai tu "kisichopo" pekee kunadai ushahidi kwasababu kuna kilichokufanya udai hayo madai
Kama mimi nina tatizo nionyeshe liko wapi.
Kwenye nini?
 
Nimeeleza hapo juu.

Hakuna shetani wala mungu by all sane accounts.

Ni hadithi za kutungwa na watu tu.

!
!
kwa kufuatilia misingi ya hoja zako nadhani umewatupa mbali mno waliojaribu kusema yupo uko vizuri na nikupongeze kwa hilo. Tuhame kidogo basi......
sasa kama zote ni hadithi za kutungwa ni nini chanzo cha Maisha?
tafadhali mkuu nifafanulie
 
!
!
kwa kufuatilia misingi ya hoja zako nadhani umewatupa mbali mno waliojaribu kusema yupo uko vizuri na nikupongeze kwa hilo. Tuhame kidogo basi......
sasa kama zote ni hadithi za kutungwa ni nini chanzo cha Maisha?
tafadhali mkuu nifafanulie

Sijui.

Ila theory ya mungu kama chanzo cha maisha inashindwa kujitosheleza.
 
!
!
kama Mungu wala Shetani hawapo ni nini basi chanzo cha Maisha!?
nini chanzo cha mema na maovu?
unazungumziaje vituko vituko kama watu kuwa na mapepo majini au mtu kuwa mchawi?

tafadhali bwana kiranga karibu?
 
!
!
ahsante kama nimekuelewa vizuri ni kwamba hii theory ya Mungu kuwa ndio chanzo haijitoshelezi i.e. kuna a lots of gaps need to be filled in!
lakini altenatively "hujui" nini chanzo cha maisha.
 
Sijui.

Ila theory ya mungu kama chanzo cha maisha inashindwa kujitosheleza.

!
!
ukiona nimerudia kitu kile kile kuuliza ni kwa sababu natumia simu kwa hiyo sometimes sioni kwa haraka na kuna wakati inabidi nireload
 
!
!
kama Mungu wala Shetani hawapo ni nini basi chanzo cha Maisha!?
nini chanzo cha mema na maovu?
unazungumziaje vituko vituko kama watu kuwa na mapepo majini au mtu kuwa mchawi?

tafadhali bwana kiranga karibu?

Chanzo cha maisha nimeki address kwamba sikijui hapo juu, kuna theories za kisayansi ambazo bado zina maswali.

Mema na maovu ni yapi?

Mwanadamu anapochinja kuku ili kupata chakula hilo ni jema au ovu? Kwa nani?

Watu kuwa na mapepo na majini kunawwza kutokana na magonjwa ya akili na.kisaikolojia ambayo hayajawa diagnosed tu, wengine wako hypnotysed in some way, wengine wana stage tu, na hata kama hatujaelewa nini kinatokea, cha kufanya si kutoa majibu rahisi kwamba ni kazi ya shetani au mungu, bali kufanya uchunguzi kutafuta majibu ya kweli.
 
habari wadau!
kwa muda wa takribani miaka 28 nimekuwa najifunza kuhusu Mungu huyu muumba wa vitu vyote. Na nimekuwa najifunza pia uwepo jba uwezo wa bwana Shetani.
Ili kumwelewa zaidi Mungu nadhani ni muhimu kumuelewa shetani pia. Yoyote mwenye taarifa zitakazonisaidia kumjua shetani anisaidie.

Shetani ni Roho chafu iliyomuasi Mungu.
 
Chanzo cha maisha nimeki address kwamba sikijui hapo juu, kuna theories za kisayansi ambazo bado zina maswali.

Mema na maovu ni yapi?

Mwanadamu anapochinja kuku ili kupata chakula hilo ni jema au ovu? Kwa nani?

Watu kuwa na mapepo na majini kunawwza kutokana na magonjwa ya akili na.kisaikolojia ambayo hayajawa diagnosed tu, wengine wako hypnotysed in some way, wengine wana stage tu, na hata kama hatujaelewa nini kinatokea, cha kufanya si kutoa majibu rahisi kwamba ni kazi ya shetani au mungu, bali kufanya uchunguzi kutafuta majibu ya kweli.

hautapata majibu ya kweli mpaka ujue ukweli ni nini?

UKWELI NI NINI?
 
Utupu ni dhana ya kufikirika, hakuna ushahidi kwamba kuna kitu kama utupu.

Ni dhana ya kufikirika kama mungu.


kukosa ushaidi haimaanishi kwamba hakuna utupu ,maana utupu unatasfiri pia,utupu ni nini?
 
kukosa ushaidi haimaanishi kwamba hakuna utupu ,maana utupu unatasfiri pia,utupu ni nini?

Ni kweli kukosa ushahidi kwamba utupu haupo hakumaanishi kwamba haupo.

Lakini hata usipokuwapo, tutakosa ushahidi kwamba haupo, kwa sababu visivyopo havina ushahidi kwamba havipo, kwa sababu havipo ili kutoa ushahidi.

Kwa hivyo kinachohitajika ili kutupa habari za kueleweka ni kuonyesha ushahidi kwamba utupu upo.

Kwa utupu nakusudia ombwe, au kwa Kiingereza "vacuum", si utupu wa aina nyingine. Ashakum si matusi.

Unaweza kutoa ushahidi kwamba utupu upo?
 
umejuaje utupu ni kitu?

Nimeanza kwa kuongelea dhana, dhana nayo ni kitu.

Kwa hiyo, utupu ni kitu kwa minajili ya kuwa dhana ya kufikirika. Ndiyo maana umeweza kuufikiria.

Kama dhana ya kufikirika ya mungu.

Hujanipa uthibitisho kwamba utupu upo.
 
Back
Top Bottom