MaxShimba
Platinum Member
- Apr 11, 2008
- 36,008
- 4,092
Mpaka hapo umebaki kwenye nyanja za kufikirika, sijasema kwamba utupu haufikiriki.
Nimeuliza kwamba utupu unathibitishika?
Hujaweza kuuthibitisha bado, uliyoandika yanaonyesha unaamini kwamba upo.
Imani si uthibitisho. Kuna watu wanaamini dunia ni bapa lakini kuamini hivyo hakufanyi dunia iwe bapa.
Unaweza kuthibitisha kwamba utupu upo kwa uhalisi nje ya dhana za kufikirika tu?
Elimu yako ya quantum physics imeishia wapi, kama ipo kwa kiwango chochote kabisa?
Wewe ndie uli kwenye kufikiria kwababu ya kutumia assumptions kwenye majibu yako. Huna ushaidi yakinifu zaidi ya bayana ambazo zinakupa ugonjwa wa kichwa kuzitetea.
Nikwambaia kwanini unatumia ignore list unapo shindwa mada, utaweza nijibu wewe?
Nikuuliza wapi ulipata ushaidi wa kupinga kischo kuwepo utaweza nipa ushaidi wewe?
You are blindly following a cult that can't support its diabolical belief. WEE NI TEGEMEZI KATIKA kufikiria na IMANI YAKO ya kupinga MUNGU ambaye hayupo. Only cowards and fo'ols does that.