mwilawi
Senior Member
- Oct 13, 2013
- 135
- 89
Jamani mimi niko na ATM card ya Equity bank, inaonyesha kuwa iko na uwezo wavkufanya malipo kwa VISA .
SWALI LANGU KWA WAZOEFU . Naomba kujulishwa usalama wa akaunti yangu baada ya mm kilipia app au manunuzi yoyote kwenye mitandao maana nimeona wakati wa manunuzi kwe site husika nahitajika kujaza taarifa nyingi zikiwemo card namba, code namba za siri za kadi yangu.
Wasiwasi wangu ni kuwa naogopa kwa kuhis baada ya manunuzi wale wenye site siku yoyote wanaweza wakanikata kiasi chochote cha fedha kwa sababu watakuwa wanataarifa za kutosha za kadi yangu kiasi cha kuwawezesha kuiba fedha kwenye akaunt yangu.
NIKO TAYARI KUSAHIHISHWA KAMA NIMKEKOSEA
SWALI LANGU KWA WAZOEFU . Naomba kujulishwa usalama wa akaunti yangu baada ya mm kilipia app au manunuzi yoyote kwenye mitandao maana nimeona wakati wa manunuzi kwe site husika nahitajika kujaza taarifa nyingi zikiwemo card namba, code namba za siri za kadi yangu.
Wasiwasi wangu ni kuwa naogopa kwa kuhis baada ya manunuzi wale wenye site siku yoyote wanaweza wakanikata kiasi chochote cha fedha kwa sababu watakuwa wanataarifa za kutosha za kadi yangu kiasi cha kuwawezesha kuiba fedha kwenye akaunt yangu.
NIKO TAYARI KUSAHIHISHWA KAMA NIMKEKOSEA